CHADEMA wametoka watu wengi,viongozi na wasio viongozi,kutoka kwao hakukunitisha,ila walipotoka watu Hawa wawili nilijuta Sana,nilisikitika Sana,niliogopa Sana nikijua CHADEMA Sasa Basi,haipo tena na Wala haitasimama Tena.
Watu wawili hao walikua na nguvu Sana,waliifanya ikapendwa na maelfu ya Watanzania Mimi nikiwa mmoja wapo,wawili hao ni Slaa na Zitto.
Hata hivyo cha kushangaza pamoja na kutoka kwao CHADEMA bado ipo. Hawa wengine waliotoka wacha watimize Haki yao ya kidemokrasia.
Hata hivyo kuna baadhi wapo waliobaki wakitoka labda hofu yangu itatimia,ila Hawa wanaotoka SASA ni afadhari watoke tu,maana ni walikua mzigo.