Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,768
Makuhani na Mafarisayo waliungwa mkono na Yuda Iskariote ili kumsaliti Yesu na hatimaye kumuua ili kuikomesha movement yake yaani "Ukristo"
Leo Ukristo umeenea Dunia nzima huku Ufarisayo ukiwa umedumaa huko Uyahudi, na Yuda akiwa ameshachimbwa Kama mafuta ya kuendeshea mitambo. So CCM na akina Mashinji hawana jipya.
Leo Ukristo umeenea Dunia nzima huku Ufarisayo ukiwa umedumaa huko Uyahudi, na Yuda akiwa ameshachimbwa Kama mafuta ya kuendeshea mitambo. So CCM na akina Mashinji hawana jipya.