Mabadiliko ndani ya CHADEMA wanayaona. Huwezi kuwa na kundi la watu bila kuwa na mapungufu.Huwezi kuwa chadema kabisa wewe naapa! CHADEMA hakuna asili ya umbeya na ushambenga!
Kuna kitu kinaitwa Propositional Logic: A if and only if B. Kama Mashinji angeendelea kuwa Katibu Mkuu na Mwambe akaukwaa Uenyekiti ambapo ruzuku, mizigo na mafungu yote yapo at their disposal.Doh kwa hiyo leo story ingekuwa Mwenyekiti wa CDM (Mwambe) na Katibu Mkuu CDM (Mashinji) wahamia ccm. Hongera CDM.
Muulize mwenyekiti aliyemuweka kwa mbwembwe.mwana wa Tanzania,
hivi kaacha legacy gani Chadema huyu?
Slaa alikua na nguvu Sana Chamani,lakini alivyoondoka alindoka na mke wake tu,Zito alikua Ana NGUVU Sana Chamani kwa kweli alivyoondoka alindoka na vikundi vya watu, lakini cha kushangaza CHADEMA imeendelea kuwepo,ukimya huu wa CHADEMA ni ukimwa wa kuwekewa minyororo miguuni,wakitaka kujua Kama ukimya huu ni wa kifo, wafungue hiyo minyororo.CDM imepitia changamoto nyingi lakini bado inaendelea kusimama imara!
Atatikisa tu ila haitakwisha japo ataipasua sanaaAkiondoka lisu.kwisha
Labda,lakini nijuavyo watu hawafanani mawazo,haiwezekani watu wore tukawa Kama CCM.Akiondoka lisu.kwisha
Upinzani sio viongozi,upinzani ni Kila mmoja kuliona Jambo kwa angle yake,hata ndani ya CCM Kuna wapinzani.upinzani ni hoja.