Unafikiri hana njaa huyo jamaa.Njaa haijawahi kumuacha mtu salama
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kukusaidia japo sina upande wa kivyama, ni kwamba ikitokea ccm ikashinda nafasi ya uraisi kwa mara nyingine basi watu wengi waliopo na waliokuja kuunga juhudi hawataweza kulala na njaa, nikimaanisha kuna nafasi nyingi sana za uteuzi unaomtegemea raisi na wengineo waliopo kwenye mfumo, hivyo kila mmoja anaweza akapata nafasi na bado zikabaki.
fikiria nafasi za uteuzi alizonazo raisi then fikiri ni nani atakosa.
Wewe unahisi kanunuliwa? Karaghabao ilikuwa special task force kule CHADEMA.Sasa Hapo Ndiyo Utaona Kuwa Hawa Tunaowaona Wamefikia Upeo Wa Juu Kabisa Wa Elimu, PhD
Nao Ni Tatizo Kwenye Suala La Uendeshaji Wa Tanzania.
Yaani Watu Na Tuna Makabila Mbalimbali
Na Vyama Vya Siasa Hivyo Hivyo
Watu Endapo Wananunuliwa Na Wanakubali Ujue Siasa Zimeisha Upande Ule Mwingine
😅😄😃😂😁Nguvu ya mpunga!
Kutokana na chama kutokuwa na itikadi tegemeeni kila uchaguzi mtakuwa mnaanza upya.Ni kawaida ya bahari kutoa uchafu.Magugu uharibu mazao ili liwe safi ni lzm magugu yote yatolewe
Umeuliza swali kuntu sijui Kama atakujibu
Kweli dada hiki chama kitajikuta kila baada ya uchaguzi wanaanza upya.Maneno aliyotoa Dr slaa pale Serena hotel itawatesa chadema miaka yote.Sasa aenda sema siri zote cha CHADEMA aka Saccos ya Mtei group.***** dhambi ya kubadili gia angani na kumtoa Dr Slaa itawaandama sana.
Umempa jibu takatifu huyo msukuleKama hamkuona mchango wa Slaa baada ya kuhama itakuwa Mashinji?
Hakuna jipya!
Sijuhi mnatumiaga vigezo gani? Hivi unaamini waTanzania wote ni MACCM au waunga mkono hoja?Unafikiri hana njaa huyo jamaa.
Kule alikuwa kwa special task anarudi kupeleka reports ndio wakome CDM kuparamia watu wasiowajua.
Nakukumbusha ishu ya Dr Ulimboka, unaikumbuka? Ila ili tuliache tutaongelea baadae ila CHADEMA inaenda kuwa TLP soon.
Akikujibu nitag
Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa. Na hili mbowe mwenyewe kalikiri naomba tumsamehe tugange yajayoMimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
hp4510,
Ndio maana nimekushangaa uliposema eti wabunge wengi walipatikana kwa ajili ya uwepo wa Lowassa. Kama watu wanachagua mgombea wa cdm kisa hawaipendi CCM na kinyume chake, iweje useme hao wa CHADEMA wameletwa na Lowassa. Ndio nikataka unidhibitishie alifungua matawi mangapi.
Hapa ndipo mtamkumbuka Dr Slaa aisee