Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
More defectors to come. Kambi ina sambaratika. Umebaki ubishi
The most edecated man in Tanzania.He is a medical doctor and he has 5 degrees.His IQ is very high like that of Tuntemeke Sanga who had 7 degrees
Kila jambo lina muda wake.Sizitaki mbichi hizi!
Kama walikuwa wanalijua hilo, kwa nini hawakumpumzisha kabla ya uchaguzi?
CHADEMA is bleeding heavily.
CHADEMA mmekwisha nyinyi ni chama cha mtu binafsi msitegemee watu wenye akili timamu kuendelea kuwaunga mkono. Endeleeni na SACOS ya Mbowe
Katibu mkuu ni mtendaji mkuu wa chama. Ni lazima awe mtu mwenye kichwa kizuri cha fikra kama ilivyokuwa Slaa na Mangula, siyo mtu wa vijembe kama Makamba au Mnyika. Angalia sasa chaguo la Mbowe! Mnyika!Huyu alibaki chadema kwa sababu ya cheo tu, katibu Mkuu ambaye angeifaa chadema Ni albanie marcus
mbona wanahama wamataifa tu sio wachaggaCHADEMA mmekwisha nyinyi ni chama cha mtu binafsi msitegemee watu wenye akili timamu kuendelea kuwaunga mkono. Endeleeni na SACOS ya Mbowe