🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mmoja kati ya walinzi wa Polisi Jamii ambaye alishiriki kwenye msako wa kumtafuta Ali Dangote, kijana mhalifu anayetajwa kuwaua takribani watu wanne, amesema kijana huyo alianza kufanya mauaji, siku ya Mechi ya Simba na Yanga (Novemba 5, 2023).

Amesema alianza mauaji hayo baada ya kuachiwa kutoka jela ambapo juhudi za kumsaka zilikuwa zikigonga mwamba mpaka alipopatikana jana, Novemba 20 na kuuawa.

Your browser is not able to display this video.
 
OLEWAKE ARUDI TENA.....
 
YAANI KAKIJANA KA MIAKA 19 KANATETEMESHA JIJI ZIMA LA UTALII KWA SILAHA YA KISU TUU, BASI KANGEJIITA HATA KOMANDO KIPENSI KULIKO KUCHAFUA JINA KUBWA HIVYO LA DANGOTE.
ILA JAMII INAJUAGA KABISA VIJANA WAHALIFU WA MTAA NDIO SABABU WAKIWACHOKA WANATOA HUKUMU ZAO ZA MTAANI.
 

Wameshamshughulikia. Walimpa nafasi hakuitumia.
 
Rest in Hell kwake kijana wa hvyo huyo,

Sent from my TECNO WX3LTE using JamiiForums mobile app
 

Kuna watu lazima wawe eliminated ili Dunia iwe salama
 
Vema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…