dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Blaa bkaaa Tena unaandikaNipo serious mkuu,ukute alifananishwa au labda niyeye,ndomaana nikasema,ni vema angetiwa nguvuni,halafu afikishwe mbele ya vyombo vya sheria,haki itendeke.Hiyo mob justice,ingekua vema ikaelekezwa kwa wezi wa mali za umma,ambao wanajulikana na karibia kila mtanzania,ila sheria hazichukui mkondo wake,jamii ingeheshimika,kuliko kumuua mtu,tena yawezekana hakupewa hata nafasi ya kusikilizwa,lakini ndo hivyo.Kuna habari za watu wengi tu kuuawa,kwa kuitiwa mwizi,huku si kweli,na watu kuua bila kumhoji wala kumsikiliza,siyo fair kabisa.Anyway ndiyo umma wetu huu.
Kwa hyo wamefanya vyema kumuwaisha kwa muumba wake siyoPost namba moja imewekwa link ifate ukasome, utapata jibu.
Hawa majambazi kuwepo mtaani wakitokea polisi limekuwa jambo linalosikIka sana Tanzania.nimeweka link hapo juu
alikamatwa na akakili kabisa mwaka jana mwezi wa 5 lakini wananchi wanashangaa yupo bado mtaani
kwaiyoo kiu yake ilikuwa kuua tuu?Alikuwa haibi chochote zaidi ya kuuwa tu
Uyu nyangau alikua mwiz mbaya zaman sasa hizi mbanga za kuua ndo nimesikia alianza karibunikwaiyoo kiu yake ilikuwa kuua tuu?
Sahih kbsaa bib etuHawa majambazi kuwepo mtaani watokea polisi limekuwa jambo linalosikIka sana Tanzania.
Aidha kuna "loopholes" nyingi kwenye sheria zetu za jinai au wanaowawachia ni chama kimoja.
Huyu Ally, mbona nikimtizama nikama ana Tatizo la Akili?.Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni
Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.
Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha
View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)
Inasikitisha. Umepambama.kupata ulichonach either pikioiki au chochote. Dogo anakuja anakukata mapanga anakujeruhi au kukuua kisa pikipiki alafu anaenda kuiuza na kunywea viroba tu. Kuna mambo yanasikitisha sana humu duniani. Mungu atusaidie kwa kweli.Alikuwa haibi chochote zaidi ya kuuwa tu
Alikua anaandika kuwahisha taarifaJoshua la polisi. Edit hapo
Word...Pole kwa familia,ndugu na jamaa, may his soul R.I.P.
Mob justice ni mbaya, wangempeleka mbele ya vyombo vya sheria, haki itendeke, ukute alisingiziwa au kafananishwa.
Aah sijaedit nimebandika tuSasa na wewe ndy uandishi gani hui?
Huyu hakuwa sawa, kuna mahali ALIONEWA. Tena ALIONEWA SANA, ndio maana akageuka kuwa KATILI SANA.Dogo alikua katili sana aisee kwa idadi ya watu alioua na alikua anaua yeyote tuu Wananchi wamepumzika hayo maeneo ya Unga limited na Ngarenaro...
Pengine hata hawalipi maana huwa hatujulishwiDuuuh! hao hawaguswi na hukumu inatolewa haifiki hata nusu bilioni,ilhali wao wamepiga zaidi ya bilioni 300
Kwahiyo wangemuacha ili aendelee kuua watu?Huyu hakuwa sawa, kuna mahali ALIONEWA. Tena ALIONEWA SANA, ndio maana akageuka kuwa KATILI SANA.
Watu wanaweza kumbadilisha MALAIKA kuwa IBILISI.
Drink your own POISON, tena angewapiga mabisu ya kutosha, HAMJITAMBUI.
Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni
Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.
Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha
View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)
fufueni muue tena uyo mbwa,,
Choko babako Lofa wewe.Wewe ni choko haujawahi kuibiwa
Choko ni wewe hapo mlendaChoko babako Lofa wewe.