Ndio secretary wa Makala
 
nguruwe wa samia mwaka huu kama huwa mnazaa watoto sita mtazalishwa watoto kumi na tano mtake msitake wajinga nyinyi majiz ya kura na majengo ya serikali kuyageuza mali za chama cha mabwabwa.
 
Hivi vetting za uteuzi hufanyikaje?
 
Kwa nini aliyetoa hizo bilioni 2.9 hakutangaza? Mnataka mpokeaji ndo atangaze wakati mtoaji ambaye ana dhamana ya Wananchi kakaa kimya? Au ilikuwa rushwa?
 
UN-MERITOCRACY LEADER
 
Bado tuna safari ndefu sana!! Hao ndiyo aina ya wabunge tunaotegemea wataisimamia serikali!!! Kwa kujikomba huko kuna kuisimamia kweli serikali?
 
Senge tu hilo kenge ataishia kuwa rc wa pembezoni wakat wenzake wanakula maisha
 
Unafiki hautakufikisha mbali.
Ulimsikiliza Dr. Slaa?
Umelisikiliza bunge au unaongea tu ili uteuliwe kua DED.?
YASOME YALE MAJINA YA WALIOTEULIWA KUWA MA DED NDIO UTAJUA HUJUI.
 
SASA MAKALA NAYE NI MTU, SI KIAZI TU KIPO KIPO TU
Viongozi wengi hushindwa kujitafakari sana, na hasa wenye nafasi za kuteuliwa, wanafika mahala mpaka anafikiri ng'ombe na kuku wote ni wanyama wa porini, na anaweza kusema maneno hayo hata mbele ya bosi wake na mbele ya wananchi. Sasa ukiona hali ya namna hiyo wengi wanahitaji kupumzika wana ugonjwa wa "sifia upate cheo" ugonjwa huu ni mbaya sana na kwa sasa umeshika kasi kubwa sana.
 

Halafu ni wazi anamtuhumu pia na Rais na Mwenyekiti wake wa chama kutoa rushwa.

Ukishakuwa mwana CCM akili yote huota mbawa! Adui mkubwa wa taifa hili ni CCM!
 
Makala si alitumbuliwa kipindi cha Jpm kuwa HATOSHI amerudi tena
 
Huyu mvimba mashavu naye pumba TU,kama Mbowe kaiba,SI wampeleke mahakamani,
Ajibu hoja za kwenye mkatqbq sio kutunisha mashavu
 
KUMBE AMESHAJIPIGIA KITITA CHAKE KIULAIIIIIINI, DAH KWELI JAMAA NI KIJANA WA TOWN, KUJIFANYA ANAPINGA NI KUWAZUGA WAJINGA TU, LAKINI MBOWE NA RAIS WETU, DAMU DAMU TU.
 
"wana nchi wanaiman nae sana mama"
Dah kauli hii kamalz kila ktu[emoji16][emoji846][emoji58]
 
Ila ukweli usemwe wazi huyu RC Makala ni mweupe sana kichwani probably ndio maana JPM alivyogundua Hana chochote kichwani aliamua kumtema,kwahiyo kwake yeye wauze bandari na kupoteza uhuru wetu na tubaki kimya kisa mbowe kala ruzuku?ivi huyu anabebwa na nani kupata huo ukuu wa mkoa?je Kwa alivyo kilaza ataleta mabadiliko chanya au yupo tu kunenepesha mashavu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…