MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Kuna watu wakuwasikiliza sio makalla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio secretary wa MakalaMakala ameyasema hayo Mwanza ambako Rais Samia anashiriki Tamamasha la Bulabo kuwa, Mbowe alifanya siri kusema kuwa wameanza kupokea ruzuku wakati Rais Samia amepeleka Mkataba bungeni wazi kabisa kwa wabunge kujadili na kupitisha.
Makalla akaendelea kuwa wengine hata haya mambo madogo wanafanya siri, kama wakipewa nchi si hatari? Na kwamba Rais anatakiwa kutembea kifua mbele kwani wananchi wana imani sana na yeye.
Mwenyekiti wa CCMWenu na nani?!
Labda wako wewe.
nguruwe wa samia mwaka huu kama huwa mnazaa watoto sita mtazalishwa watoto kumi na tano mtake msitake wajinga nyinyi majiz ya kura na majengo ya serikali kuyageuza mali za chama cha mabwabwa.nyie nyumbu mnajulikana mlivyo mazuzu, kila la hovyo atakalofanya huyo mlevi wenu mpo. Aibu yenu. Acheni mama afanye wonders siyo huyo m/kiti ambaye ameshindwa hata kujenga kaofisi kadogo ndiyo ajenge nchi? Watoto wake wako Marekani nyie mpompo tu km mamburula. Mwacheni mama ajenge uchumi kiwango chake kipo juu sana siyo km nyie mliodumaa akili
mazumbukuku ya makalaHoja ni hela kupewa Mbowe akale bata ulaya
Hivi vetting za uteuzi hufanyikaje?“Ukiwa unaongelea kibanzi kilichopo kwenye jicho la ndugu yako na wewe angalia boriti ulilo nalo katika jicho lako, Mheshimiwa Mbowe hata kusema tu kuwa ruzuku tumepata unafanya siri?, Mhe. Rais wewe unapeleka mkataba Bungeni wazi kabisa yeye hata ruzuku hasemi.
“Alisema hatupokei hatupokei lakini bilioni 2.9 ameziweka mfukoni hasemi kwamba ameanza kuzipokea, nani mwenye uwazi kati ya Samia Suluhu na Viongozi wengine, mambo madogo kama haya wanafanya siri wakipewa nchi si itakuwa hatari,” Makalla.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla akizungumza kwenye Tamasha la Utamaduni la Bulabo lilifanyika kwenye uwanja wa Red Cross Bujora Kisesa Wilayani Magu mkoani Mwanza.
=====
Pia soma: Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku
Kwa nini aliyetoa hizo bilioni 2.9 hakutangaza? Mnataka mpokeaji ndo atangaze wakati mtoaji ambaye ana dhamana ya Wananchi kakaa kimya? Au ilikuwa rushwa?Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
UN-MERITOCRACY LEADERKatika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Bado tuna safari ndefu sana!! Hao ndiyo aina ya wabunge tunaotegemea wataisimamia serikali!!! Kwa kujikomba huko kuna kuisimamia kweli serikali?Makala ameyasema hayo Mwanza ambako Rais Samia anashiriki Tamamasha la Bulabo kuwa, Mbowe alifanya siri kusema kuwa wameanza kupokea ruzuku wakati Rais Samia amepeleka Mkataba bungeni wazi kabisa kwa wabunge kujadili na kupitisha.
Makalla akaendelea kuwa wengine hata haya mambo madogo wanafanya siri, kama wakipewa nchi si hatari? Na kwamba Rais anatakiwa kutembea kifua mbele kwani wananchi wana imani sana na yeye.
Unafiki hautakufikisha mbali.nyie nyumbu mnajulikana mlivyo mazuzu, kila la hovyo atakalofanya huyo mlevi wenu mpo. Aibu yenu. Acheni mama afanye wonders siyo huyo m/kiti ambaye ameshindwa hata kujenga kaofisi kadogo ndiyo ajenge nchi? Watoto wake wako Marekani nyie mpompo tu km mamburula. Mwacheni mama ajenge uchumi kiwango chake kipo juu sana siyo km nyie mliodumaa akili
Viongozi wengi hushindwa kujitafakari sana, na hasa wenye nafasi za kuteuliwa, wanafika mahala mpaka anafikiri ng'ombe na kuku wote ni wanyama wa porini, na anaweza kusema maneno hayo hata mbele ya bosi wake na mbele ya wananchi. Sasa ukiona hali ya namna hiyo wengi wanahitaji kupumzika wana ugonjwa wa "sifia upate cheo" ugonjwa huu ni mbaya sana na kwa sasa umeshika kasi kubwa sana.SASA MAKALA NAYE NI MTU, SI KIAZI TU KIPO KIPO TU
Huyu anatakiwa kufunguliwa kesi binafsi. Hajui wenzake huwa wanajificha nyuma ya kinga kuwa ni wabunge na wanazungumza wakiwa Bungeni.
Anatakiwa atoe ushahidi wa hizo bilioni 2 alizobinafsisha Mbowe. Na Mbowe akimnyamazia tutahisi kuna ukweli katika hizi shutuma.
Amandla...
Huyu mvimba mashavu naye pumba TU,kama Mbowe kaiba,SI wampeleke mahakamani,Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
KUMBE AMESHAJIPIGIA KITITA CHAKE KIULAIIIIIINI, DAH KWELI JAMAA NI KIJANA WA TOWN, KUJIFANYA ANAPINGA NI KUWAZUGA WAJINGA TU, LAKINI MBOWE NA RAIS WETU, DAMU DAMU TU.Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu KUHassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
"wana nchi wanaiman nae sana mama"Makala ameyasema hayo Mwanza ambako Rais Samia anashiriki Tamamasha la Bulabo kuwa, Mbowe alifanya siri kusema kuwa wameanza kupokea ruzuku wakati Rais Samia amepeleka Mkataba bungeni wazi kabisa kwa wabunge kujadili na kupitisha.
Makalla akaendelea kuwa wengine hata haya mambo madogo wanafanya siri, kama wakipewa nchi si hatari? Na kwamba Rais anatakiwa kutembea kifua mbele kwani wananchi wana imani sana na yeye.