Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Nionavyo mimi pia.Lazima uwe mwendawazimu, zuzu lisilojua chochote kuweza kuyaamini hayo. Huko ni kumtukana Rais kuwa anagawa pesa ya Serikali kama kangala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nionavyo mimi pia.Lazima uwe mwendawazimu, zuzu lisilojua chochote kuweza kuyaamini hayo. Huko ni kumtukana Rais kuwa anagawa pesa ya Serikali kama kangala.
Wajinga hawajui wanazidi kumuonesha Samia alivyo mtupu.
Hayo.mambo ya ndani ya chama na mikutano ya kisiasa ya chama ya ndani na nje lakini kukiwa na shughuli za kiserikali inatakiwa ya kiserikali tuSawa.....
Ila ni mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa....
"Vitani" hakuna sheria......[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna mnufaika anayeweza kuikosoa system.., hata ukija mkataba wa kubinafisisha serirkali naamin utapita.Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Kutesa kwa zamu, zamu yake.Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Basi nae anafurahia kumbe wanazidi kumharibia tu.
Bilioni 2 mwamba kama mwamba kakunja mfukoni mwake....
Kweli "MWAMBA TUVUSHE" ni jasiri asiyeacha asili.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyo arudi kijiweniRais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Mama wa wengine wapewe heshima sawa na unayompa mamako. Sioni haja ya kuwaingiza mama wa wengine kwenye hoja yako. Ikikupendeza mtake radhi mchangiaji na jibu hoja yake kistaarabu tu itapendeza Sana..anza kwanza kumfungulia kesi mamako kwanza we kuwa na udumavuwa akili kiasi hicho, pili kuendelea kuwa maskini mpaka umaskini wa akili
Ufisadi na wizi wa mbowe hutetewa sana na nyumbu wakeJamaa Alichosema kakosea wapi.tatizo hamtaki ukweli ila mtaujua tuh.samia kaeka wazi mkataba uko bungeni.ila huyo mwenyekit wenu ruzuku zimerudishwa mbona hajasema wakt zinekatwa alipiga kelele