Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii pesa ya walipa kodi ilitolewa na nani? Alimpa Mbowe kama zawadi au?Mh.Amos Makalla yuko sahihi....
Mh.Amos Makala hajazusha.....
Watu wana "data" zake vyema tu....
Ukikaa kwenye NYUMA YA KIOO USIUTAKE UGOMVI WA MAWE [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bilioni 2.....ziko MFUKONI KWA MTU
Bilioni 2.....ziko MFUKONI KWA MTU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Erthyrocyte ndio maana haonekani....kwa msukumo wa bilioni 2 yale mashambulizi DHIDI ya mh.Nape mitandaoni yatakuwa "bambam"....
Jamaa wanataka waanzishe maandamano nchi nzima kwa sababu ya hao waarabu wa DP WORLD.....
#Bilioni2ZikoMfukoniMwaMwamba
JASIRI HAACHI ASILI [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kati ya wapumbavu 2,jamaa lazima awe wa 1!Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
MWAMBA TUVUSHE kavuka na ile bilioni 2....ndiii ikibindoni...kimyaaa [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu alishatemwa, anatafuta relevance kupitia Mbowe [emoji2960]
Huyu alishatemwa, anatafuta relevance kupitia Mbowe [emoji2960]
Aliye uza bandari siyo Mbowe.Mkataba gani wa muda usio julikana?Huwezi kuwatoa watz kwenye hoja ya msingi.Wala SI Siri katibu mkuu wa wizara mzanzibar waziri mzanzibar Raisi mzanzibar Bandari za Zanzibar haziuzwi com on Unahitaji kuwa mjinga sana au kuwa zuzu kutoa kuelewa hilinyie nyumbu mnajulikana mlivyo mazuzu, kila la hovyo atakalofanya huyo mlevi wenu mpo. Aibu yenu. Acheni mama afanye wonders siyo huyo m/kiti ambaye ameshindwa hata kujenga kaofisi kadogo ndiyo ajenge nchi? Watoto wake wako Marekani nyie mpompo tu km mamburula. Mwacheni mama ajenge uchumi kiwango chake kipo juu sana siyo km nyie mliodumaa akili
Basi hao jamaa wa serekalini watakuwa hamnazo kama bilioni mbili waliingiza kwenye akaunti ya Mbowe badala kuingiza hela kwenye akaunti ya CDM. Nchi una watu wa hovyo hiiSwala la Bandari linahusiana vipi kuchukua Billion 2 au ndo chuki Binafsi
Mkuu, huenda wewe utakuwa na Umri kama wangu wa Uzee, ambapo kwa Mujibu wa Vitabu vitakatifu huenda tumebakiwa na miaka 10 au 20 ya kuishi.Mkuu kituo cha kuanzia maandamano kitakuwa wapi mkuu wangu ?!!!
Nakumbuka mwaka 2020....akina Boniphace Jacob walitaka kuanzia pale UBUNGO kusonga mbili....mpaka saa 6 mchana hakuna hata "kamanda" mmoja aliyeonekana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji106]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huo. Makalla Kumbe naye ni bure tu. Kwani pesa za Ruzuku zinalipwa kwenye bank account ya Mbowe. Ama kwa kusema hayo anataka kutuambia kuwa kuna watu wamevuta hela lakini siyo kimya kimya kama Mbowe. Wao wameamua kuwa wazi kwa kuhalalisha ulaji wao kupitia Bunge letu..... Seriously!!Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Hata Viongozi wetu wa Deen WamehojiHuyu jamaa hana mvuto wowote kisiasa...suala la bandari wananchi wameshapaza sauti ..kwa level yake hana influence...
Jengine ndio nini hiki mkuu?Mikataba suala jengine....
Mwamba tuvushe na kuvushika na bilioni 2 ni suala jengine [emoji1787][emoji1787]
Unakwama wapi mkuu ?!!!
Two wrongs doesn't make one right .....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama na wewe unauwezo peleka wakwako, au uende mwenyewe hoja ya kuuza bandari na kujenga ofisi au kupeleka watoto marekani vinauhusiano gani? [emoji706]nyie nyumbu mnajulikana mlivyo mazuzu, kila la hovyo atakalofanya huyo mlevi wenu mpo. Aibu yenu. Acheni mama afanye wonders siyo huyo m/kiti ambaye ameshindwa hata kujenga kaofisi kadogo ndiyo ajenge nchi? Watoto wake wako Marekani nyie mpompo tu km mamburula. Mwacheni mama ajenge uchumi kiwango chake kipo juu sana siyo km nyie mliodumaa akili
Kwamba Samia anampa Mbowe 2b ili afumbe macho na mdomo?Mikataba suala jengine....
Mwamba tuvushe na kuvushika na bilioni 2 ni suala jengine [emoji1787][emoji1787]
Unakwama wapi mkuu ?!!!
Two wrongs doesn't make one right .....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Lazima uwe mwendawazimu, zuzu lisilojua chochote kuweza kuyaamini hayo. Huko ni kumtukana Rais kuwa anagawa pesa ya Serikali kama kangala.Bilioni 2 mwamba kama mwamba kakunja mfukoni mwake....
Kweli "MWAMBA TUVUSHE" ni jasiri asiyeacha asili.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mbowe alimlazimisha Samia kuwa ni lazima apeleke hizo 2b ili afumbe macho na mdomo,sasa sijui Mbowe naye anataka aongezewe tena? (Makalla ana majibu).Hii pesa ya walipa kodi ilitolewa na nani? Alimpa Mbowe kama zawadi au?
Mlimpa ili kumfunga mdomo? Poleni ndio ameshalipuka.
Samia ni mzigo kwa hili taifa, hasara kila kona.