Amos Makalla amshambulia Freeman Mbowe mbele ya Rais Samia
makala jinga jinga, magu alimpiga chini aliona kubwa jinga....alichoka hadi alikuwa anakula msosi magengeni kihonda..sasa analeta kidomodomo....sifa yake kubwa ni kowadi wa kutafutia mademu wazee wa chama ndio ilyomtoa
Hapa hatuongelei huo ukuwadi wake.....huna ushahidi juu ya hilo...

Hapa tunaongelea "mwamba tuvushe" kajikunjia bilioni 2 kibindoni....kimyaaa kimyaaaaa [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Bilioni 2 zimemvusha "mwamba tuvushe"....

Kavuka bwana....yaani katuliza....kaweka gambani....kazichomekea mfukoni mwake...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

JASIRI HAACHI ASILI [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Makala acha upuuzi wewe nchi inapigwa mnada wewe unaleta mzaha
Bilioni 2 zimemvusha "mwamba tuvushe"....

Hatari sana.....[emoji1787]

Mwamba tuvushe katuliza na kuzisundia mfukoni mwake [emoji1787][emoji1787]

Na ndio maana akina mh.Patrobass Katambi akiwa Mkulungwa wa BAVICHA WALIMCHOKA "mwamba tuvushe" [emoji1787][emoji1787]

BILIONI MBILI BILIONI MBILI [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
 
Mkuu.wa mkoa sio mwanasiasa ni kiongozi wa serikali

Alitakiwa kumpa Raisi ripoti za utendaji kazi mkoani mwake, maendeleo yaliyofanyika changamoto za mkoa zinazohitaji ufumbuzi wa Raisi


Sio hizo porojo zake za akina Mbowe hizo aachie viongozi wa CCM na jumuiya zake Mwanza na wilaya zake
Sawa.....


Ila ni mjumbe wa kamati ya siasa ya mkoa....

"Vitani" hakuna sheria......[emoji1787]



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
Mimi ni CCM kada damu damu.
Lakini Mbowe katoa haswa kilicho moyoni mwa watanganyika na hakuwa mnafiki.
Hao kina Makala ni vijamaa vinafiki nafiki kupepenea vyeo wasije wkatupwa nje na mteuzi wao.

Unafiki wa akina Makala kwao dili!
 
Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
Kwa hiyo huo wizi wa Mbowe fidia yake ni mikataba mibovu?
 
Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
Gutter politics
 
Kweli linapofikia suala la Wizi wa mali za Umma, Makada wote wa Chama Tawala huwa wamoja.

Walianzia Bungeni na sasa wateule wa Rais.

Watanzania kuna haja tukaungana kukemea huu Wizi wa hawa Mabwenyenye wanaoshinda Kutwa kula na Kuvaa kwa Kodi zetu.

Walianzia kwenye Ngorongoro, Gesi ya Mtwara, Viwanda vyote kama Urafiki n.k na Sasa wamehamia Kwenye Bandari

Tukiendelea kukaa kimya hawa Watu watakuja kutuuza Watanzania wote
Mkuu kituo cha kuanzia maandamano kitakuwa wapi mkuu wangu ?!!!

Nakumbuka mwaka 2020....akina Boniphace Jacob walitaka kuanzia pale UBUNGO kusonga mbili....mpaka saa 6 mchana hakuna hata "kamanda" mmoja aliyeonekana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji106]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
makala jinga jinga, magu alimpiga chini aliona kubwa jinga....alichoka hadi alikuwa anakula msosi magengeni kihonda..sasa analeta kidomodomo....sifa yake kubwa ni kowadi wa kutafutia mademu wazee wa chama ndio ilyomtoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom