Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Bilioni 2 kibindoni....SASA MAKALA NAYE NI MTU, SI KIAZI TU KIPO KIPO TU
Hatari sana....jasiri haachi asili [emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bilioni 2 kibindoni....SASA MAKALA NAYE NI MTU, SI KIAZI TU KIPO KIPO TU
Sasa ina maana yeye Rais anatumia pesa za umma ktk mambo binafsi? Si rushwa hii??Ukiangalia kwa jicho la tatu, haya ni maneno ya Samia anamwambia Mbowe kupitia kinywa cha Makala.
Hii ni kauli ya kimkakati, haikutoka bahati mbaya....Makala ni punda mbeba mzigo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiangalia lile bichwa na mashavu yale kama paka wa hotelini akili atazipata wapi?
Kama ulivyo CHAWA wa mh.Mbowe....Chawa Makalla bhana !!
Mavi ni kinyesi cha ajabu sana! hayajawahi kumwacha mwanasiasa salama!Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Ujinga ProKatika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1
Kapiga "mshononi" eeee?!!![emoji1787]Ukiangalia lile bichwa na mashavu yale kama paka wa hotelini akili atazipata wapi?
🤣🤣🤣🤣🙌🙌Mashavu utafikiri anatafuna mchele mbichi.
Imeingia eee?!!![emoji1787]Mashavu utafikiri anatafuna mchele mbichi.
Amevushika....zimemvusha mwamba bwana...bilioni 2 kazitia kibindoni...kimyaaaaa[emoji1787]Aisee, ndio walilitimua ukuu wa mkoa
Mwiz n mwiziiiii.....Ila waliotajwa na CAG sio wezi
Mkuu Jidu vipi kaka?Mimi ni CCM kada damu damu.
Lakini Mbowe katoa haswa kilicho moyoni mwa watanganyika na hakuwa mnafiki.
Hao kina Makala ni vijamaa vinafiki nafiki kupepenea vyeo wasije wkatupwa nje na mteuzi wao.
Unafiki wa akina Makala kwao dili!
Mikataba suala jengine....Kwa hiyo huo wizi wa Mbowe fidia yake ni mikataba mibovu?
Mkuu nawachukia wanafiki.
Hili jambo kama kweli linafaida kwanini CCM wanatumia nguvu kubwa snKatika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:
"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".
Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.
Chanzo: TBC1