Amos Makalla amshambulia Freeman Mbowe mbele ya Rais Samia
Ni dhahiri kuhamishiwa kwenye Sato mama hakukosea mana vichwa vya samaki huongeza akili
 
Chawa Makalla bhana !!
Kama ulivyo CHAWA wa mh.Mbowe....

Dadaangu Tusekelege vipi huko ?!!!

Baada ya suala hili la ukunjwaji wa bilioni 2 "fasta" umetokeza kuja kuokoa jahazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mh.Amos Makalla amekuletea usumbufu sana...kwani ulikuwa "chimbo" ukimpangia mrejesho wa mashambulizi mh.waziri Nape Nnauye kwa ile kauli yake ya bungeni....leo wameendeleza MASHAMBULIZI.....[emoji1787]




Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:

"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
Mavi ni kinyesi cha ajabu sana! hayajawahi kumwacha mwanasiasa salama!
mtu hata akiyakanyaga anachechemia kama kakanyaga mwiba! sasa shughuli ni wakati wa kuyatafuta! mwanasiasa haoni shida kufedheheka kwa ajili ya njaa yake!
 
Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:

"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
Ujinga Pro
 
Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema:

"Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
Hili jambo kama kweli linafaida kwanini CCM wanatumia nguvu kubwa sn
 
Uzi unatembea kweli kweli....

Akiguswa tu Mh.Mbowe.....mashimo yote yanabaki TUPU .....wako mitaani kuja kumpambania mwamba tuvushe......aagh mh.Makalla amekuwa MPULIZA FILIMBI WA HAMELINI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom