Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Wilaya zote ni karibu vijiji vyote,isipokuwa kuna Kijiji Kimoja kinaiwa wotta_Mpwapwa wagumu kuuza.Bei ni kuanzia laki na nusu inategemea na muuzaji.Huko wotta ni watu waliohamia Toka Iringa kutokana na vita vya wajerumani na Wanyalukolo!
Sasa huko mzee si wanakaa wahehe?! Halafu ni mlimani, Ila Kuna chakula balaa! Ni pazuri sana
 
Ni mengi mno.

Kuanzia, Sumbawanga, Namanyere hadi Mpanda vijiji vya Senta Maria, Kasekese, Kagunga hadi Katuma.

Kama unataka kanda ya Shinyanga, Maeneo ya Kahama vijiji vya Senta Chale, Segese, Lugunga hadi Kalumwa.

Tanzania bado ina maeneo mengi sana mazuri tu bei ya chini, ni wewe kuchagua tu.
Asante mkuu. Hivyo vijiji vya kahama ulivyotaja wanauza bei Gani?
 
Ukisema unataka kwenda shambani basi usisahau kununua land cruiser engine 1kz, 1kd, 1hz pia 1hdt pia Kuna Hilux 3l na 5l hapo at least utakuwa serious na shamba Kwan shamban Bila gari inayovuta tair zote 4x4 (4-wheel) n ngumu kutoboa tofauti na hapo shamba litabaki kuwa stori

Nimechomekea hili ni muhimu sana
 
Great thinkers.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.

Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..

Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli

Karibuni
Asanteni.
Mkuu ni PM nikupeleke nafanya kazi huko, ardhi kama yote, af no mbolea mazao yanaenda tu.
 
Great thinkers.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.

Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..

Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli

Karibuni
Asanteni.
Wakati mwingine bei ndogo inaashiria mambo yaliyojificha. Be carefully.
 
Ni mengi mno.

Kuanzia, Sumbawanga, Namanyere hadi Mpanda vijiji vya Senta Maria, Kasekese, Kagunga hadi Katuma.

Kama unataka kanda ya Shinyanga, Maeneo ya Kahama vijiji vya Senta Chale, Segese, Lugunga hadi Kalumwa.

Tanzania bado ina maeneo mengi sana mazuri tu bei ya chini, ni wewe kuchagua tu.
Mkuu senta chale,lugunga,kalumwa,segese maeneo ni sh ngapi kwa heka. Na kama hutojali hivyo vijiji ni uelekeo gani ukiwa hapo kahama. Naifahamu kahama kiana.
 
Back
Top Bottom