Ok, hakuna alichofanya.Elimu bure=Mwendazake alisimamia hili sio yeye
Hajapandisha chochote ilikua ni uhuni tu nasema wananchi wa chini sisemei watumishi ambao ni kundi la wanaofaidi nchi sijui unaelewa nilichouliza na unachojibu??Hapa nazungumzia wananchi sio watumishi ww ni wa wapi?
Kodi ndo wananchi wanazifaidi??Toa hoja acha uongo?Nilichouliza ni tofauti na ulichojibu
Ajira zipi wewe unataka makofi au kwanini unaongopa kumpamba huyo bibi uwongo?
Mabarabara ni ajenda ya mwendazake na Jk tokea huko zake ni zipi
Madarasa yanajengwa tokea enz za jk na shule za kata wala hajaleta yeye
Utake usitake Samia ndiye Rais wa JMT na Magufuli keshajifilia zake na hatorudi tena!!Elimu bure ililetwa tokea mwaka 2015 na sio yeye ililetwa na mwendazake na ndo alisimamia hili yeye samia hajaja na sera ya elimu bure wacha kudanganya
Sasa wewe unataka kusema huyu Ni Rais wa awamu ya tano , Hivi hata mtoto wako hapo nyumbani akikuuliza huyu Ni Rais wa awamu ya ngapi utamwambia awamu ya Tano? Akikwambia umuhesabie Marais utamwesabiaje mwanao Hadi mh mama yetu Samia Naye awe wa awamu ya Tano?Samahani mkuu...mie sio mbishani ila nimetaka tu kuweka vitu sawa na wala sina muda wa kutupiana maneno ya hovyo na mwingine.
Huyu mama samia anajikanyaga kwa kuwa...Mara baada ya kupitishwa kuwa rais wa TZ baada ya mzee.magu kufariki ilitakiwa yeye awe raisi wa 6 awamu ya tano...Simply:-
Kwanza, Kwa kuwa hawamu hiyo haikumalizwa na ili ikamilike ni kipindi cha miaka.10.
Pili, Yeye ni member wa chama sawa ha alichotoka hayati yaani CCM.
Tatu, Hakuna Awamu za kuteuliwa au kukaimu katika kitiba ya nchi yetu...bali awamu huja baada ya chaguzi(kupigiwa kura) kufanyika na mgombea husika kupatikana, kuthibitishwa na kuapishwa.
Nne, Na ikumbukwe kila awamu(kipindi cha miaka.10)...inakuja na Ilani/Malengo yake ya utekelezaji.
Turudi kwenye mada....
Hivyo kwa kuzingatia ivyo hapo juu...YAANI MAGU HAKUMALIZA AWAMU YA 5(MIAKA.10), YEYE RAIS.SAMIA HAKUCHAGULIWA KWA CHAGUZI NA PIA BADO ANATEKELEZA ILANI YA AWAMU YA 5 YA MAGU, Hakustaili kuitwa rais wa awamu ya 6...kwa kuwa hadi ivi sasa hakuna ilani ya awamu yake bali bado ni ya magu.
Na kama wewe utaibuka kusema hii ilani iliyopo ni ya awamu ya.6 EBU TUKUMBUSHE YEYE ANAYEJIITA RAIS WA AWAMU YA.6 ALIINADI WAPI ILANI YA AWAMU YA 6?(maana ilani kabla ya kutekelezwa ni lazima inadiwe na ilani hunadiwa kipindi cha chaguzi kwa mujibu wa katiba yetu ya 1977)
Hivyo basi, alistaili kuwa raisi wa 6 katika awamu ya tano(yaani anamalizia utekelezaji wa ilani ya magu/Ya CCM 2015-2025), then kwa mujibu wa katiba kwa kuwa alikaimu muda uliosalia kwa kipindi kilichozidi miaka.3( yaani miaka.4 iliyobakia)...katiba itamruhusu kugombea miaka.5 tu inayofuata akitaka kuendelea na sio zaidi.
Lakini kama angekaimu miaka mitatu au pungufu ya hapo...katiba ingemruhusu kugombea kwa kipindi cha miaka kumi kama akitaka kugombea, yaani hiyo mitatu, miwili au mmoja isingehesabika iliyosalia kwa huyu aliyefariki isingehesabika.
Hivyo, Ata mambo mengi MNAYOSEMA AMEYAFANYA NI UONGO KWA KUWA...MASUALA HAYO YALIKUWEPO KWENYE ILANI YA CCM MWAKA.2015-2025(Awamu ya tano[miaka.10])...hivyo kwa sababu yeye ni awamu ya 6...Fanya utuletee apa ilani ya awamu ya 6 unayoijua wewe na vipaumbele vyake wote tuvichambue apa jukwaani na useme aliinadi wapi?
Chuki hujaza ujingaElimu bure=Mwendazake alisimamia hili sio yeye
Hajapandisha chochote ilikua ni uhuni tu nasema wananchi wa chini sisemei watumishi ambao ni kundi la wanaofaidi nchi sijui unaelewa nilichouliza na unachojibu??Hapa nazungumzia wananchi sio watumishi ww ni wa wapi?
Kodi ndo wananchi wanazifaidi??Toa hoja acha uongo?Nilichouliza ni tofauti na ulichojibu
Ajira zipi wewe unataka makofi au kwanini unaongopa kumpamba huyo bibi uwongo?
Mabarabara ni ajenda ya mwendazake na Jk tokea huko zake ni zipi
Madarasa yanajengwa tokea enz za jk na shule za kata wala hajaleta yeye
Kama bado inajengwa unasemaje mwenda zake na kikwete!?..kikwete si rais,na magu kafa..wanajengaje miundombinu!?...Samia alisema isijengwe utasemaje!?Miundombinu yote ni mwendazake na kikwete na sio yeye
Kwamba rais akiongoza kwa miaka mitano Kisha uchaguzi inayofuata akashindwa,hiyo haihesabiki awamu kwa kuwa haijatimu miaka kumi!?...mgombea mwenza wa urais siyo mgombea!?..kwamba kipimo Cha awamu ni ilani!?..Samahani mkuu...mie sio mbishani ila nimetaka tu kuweka vitu sawa na wala sina muda wa kutupiana maneno ya hovyo na mwingine.
Huyu mama samia anajikanyaga kwa kuwa...Mara baada ya kupitishwa kuwa rais wa TZ baada ya mzee.magu kufariki ilitakiwa yeye awe raisi wa 6 awamu ya tano...Simply:-
Kwanza, Kwa kuwa hawamu hiyo haikumalizwa na ili ikamilike ni kipindi cha miaka.10.
Pili, Yeye ni member wa chama sawa ha alichotoka hayati yaani CCM.
Tatu, Hakuna Awamu za kuteuliwa au kukaimu katika kitiba ya nchi yetu...bali awamu huja baada ya chaguzi(kupigiwa kura) kufanyika na mgombea husika kupatikana, kuthibitishwa na kuapishwa.
Nne, Na ikumbukwe kila awamu(kipindi cha miaka.10)...inakuja na Ilani/Malengo yake ya utekelezaji.
Turudi kwenye mada....
Hivyo kwa kuzingatia ivyo hapo juu...YAANI MAGU HAKUMALIZA AWAMU YA 5(MIAKA.10), YEYE RAIS.SAMIA HAKUCHAGULIWA KWA CHAGUZI NA PIA BADO ANATEKELEZA ILANI YA AWAMU YA 5 YA MAGU, Hakustaili kuitwa rais wa awamu ya 6...kwa kuwa hadi ivi sasa hakuna ilani ya awamu yake bali bado ni ya magu.
Na kama wewe utaibuka kusema hii ilani iliyopo ni ya awamu ya.6 EBU TUKUMBUSHE YEYE ANAYEJIITA RAIS WA AWAMU YA.6 ALIINADI WAPI ILANI YA AWAMU YA 6?(maana ilani kabla ya kutekelezwa ni lazima inadiwe na ilani hunadiwa kipindi cha chaguzi kwa mujibu wa katiba yetu ya 1977)
Hivyo basi, alistaili kuwa raisi wa 6 katika awamu ya tano(yaani anamalizia utekelezaji wa ilani ya magu/Ya CCM 2015-2025), then kwa mujibu wa katiba kwa kuwa alikaimu muda uliosalia kwa kipindi kilichozidi miaka.3( yaani miaka.4 iliyobakia)...katiba itamruhusu kugombea miaka.5 tu inayofuata akitaka kuendelea na sio zaidi.
Lakini kama angekaimu miaka mitatu au pungufu ya hapo...katiba ingemruhusu kugombea kwa kipindi cha miaka kumi kama akitaka kugombea, yaani hiyo mitatu, miwili au mmoja isingehesabika iliyosalia kwa huyu aliyefariki isingehesabika.
Hivyo, Ata mambo mengi MNAYOSEMA AMEYAFANYA NI UONGO KWA KUWA...MASUALA HAYO YALIKUWEPO KWENYE ILANI YA CCM MWAKA.2015-2025(Awamu ya tano[miaka.10])...hivyo kwa sababu yeye ni awamu ya 6...Fanya utuletee apa ilani ya awamu ya 6 unayoijua wewe na vipaumbele vyake wote tuvichambue apa jukwaani na useme aliinadi wapi?
Umekalisha matko yako chini unachati kwa amani, hiyo ni kazi ya SamiaMnaweza kunambia ni kipi cha maana alichokifanya rais Samia hadi sasa ambacho kimegusa raia wa kawaida au kumsaidia??
Nambieni ni kipi kakifanya ambacho kinaweza kuwa sababu ya yeye kusema amefanya kazi ya kusaidia wananchi wake
Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais
Kwani lini nchi ilikuwa vitani mkuu? Amani ipo tu labda hawa Panya road waliyoibuka ndio wanaleta hofu.Umekalisha matko yako chini unachati kwa amani, hiyo ni kazi ya Samia
MBOLEA YA RUZUKUUU, SOKO LA MAZAO KUFUNGUKAAA, AMANI NA UTULIVUU KUONGEZEKAA1. Elimu bure hadi KIDATO CHA SITA
2. UJENZI WA MADARASA
3. KUPANDISHA MADARAJA YA WATUMISHI NA KUONGEZA MISHAHARA YAO.
4. KODI BILA MTUTU WA BUNDUKI NA DHULMA KWA WAFANYABIASHARA.
5. AJIRA SEKTA ZOTE (ELIMU, AFYA, ULINZI NA USALAMA, TAASISI ZOTE NK)
6. BARABARA NYINGI HASA ZINAZOSIMAMIWANA TARURA.
TUNAWEZA KUANDIKA MPAKA KESHO.
NB. CHUKI ZA DINI YAKE USILETE KWENYE MAISHA YA KAWAIDA NA KUTAKA WATU WENGINE WAMCHUKIA. ADUI WAKO SIO ADUI WETU SISI.
Kama kweli tuthibitishe kwa 'Tume huru ya uchaguzi'.. ....!!Anapendwa na wengi na anakubalika kwa 98%,sisi ccm kindakindaki hutuambii lolote, yapo mapungufu lakini ni kidogo mono! Zaidi yamesimamia kwenye kupanda kwa nafaka za vyakula jambo ambalo linafanyiwa kazi, acha kusemea wengi.
N. B, nchi iliaribika kupitiliza it needs/takes times to heal wounds!
nilichokiona kutoka kwako ni chuki TU kwani watumishi sio wananchi ? kama haujui Kuna watumishi wa kipato Cha chini kabisa ndio aliowagusa kweny annual increment ya mwaka huu .Elimu bure=Mwendazake alisimamia hili sio yeye
Hajapandisha chochote ilikua ni uhuni tu nasema wananchi wa chini sisemei watumishi ambao ni kundi la wanaofaidi nchi sijui unaelewa nilichouliza na unachojibu??Hapa nazungumzia wananchi sio watumishi ww ni wa wapi?
Kodi ndo wananchi wanazifaidi??Toa hoja acha uongo?Nilichouliza ni tofauti na ulichojibu
Ajira zipi wewe unataka makofi au kwanini unaongopa kumpamba huyo bibi uwongo?
Mabarabara ni ajenda ya mwendazake na Jk tokea huko zake ni zipi
Madarasa yanajengwa tokea enz za jk na shule za kata wala hajaleta yeye