Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Elimu bure=Mwendazake alisimamia hili sio yeye
Hajapandisha chochote ilikua ni uhuni tu nasema wananchi wa chini sisemei watumishi ambao ni kundi la wanaofaidi nchi sijui unaelewa nilichouliza na unachojibu??Hapa nazungumzia wananchi sio watumishi ww ni wa wapi?
Kodi ndo wananchi wanazifaidi??Toa hoja acha uongo?Nilichouliza ni tofauti na ulichojibu
Ajira zipi wewe unataka makofi au kwanini unaongopa kumpamba huyo bibi uwongo?
Mabarabara ni ajenda ya mwendazake na Jk tokea huko zake ni zipi

Madarasa yanajengwa tokea enz za jk na shule za kata wala hajaleta yeye
Ok, hakuna alichofanya.
So what!
 
Ametoa ajira kwa watoto wa masikini waliouza mashamba na ng'ombe kusomesha watoto wao kwa kozi za ualimu na afya
 
Elimu bure ililetwa tokea mwaka 2015 na sio yeye ililetwa na mwendazake na ndo alisimamia hili yeye samia hajaja na sera ya elimu bure wacha kudanganya
Utake usitake Samia ndiye Rais wa JMT na Magufuli keshajifilia zake na hatorudi tena!!
 
Wakulima wamepata fursa ya kuuza mazao yao kwa bei kubwa toka 2015
 
Masikini wamejengewa vituo vya afya na madarasa pasipo kutoa mchango wa pesa hata jero
 
Samahani mkuu...mie sio mbishani ila nimetaka tu kuweka vitu sawa na wala sina muda wa kutupiana maneno ya hovyo na mwingine.

Huyu mama samia anajikanyaga kwa kuwa...Mara baada ya kupitishwa kuwa rais wa TZ baada ya mzee.magu kufariki ilitakiwa yeye awe raisi wa 6 awamu ya tano...Simply:-

Kwanza, Kwa kuwa hawamu hiyo haikumalizwa na ili ikamilike ni kipindi cha miaka.10.

Pili, Yeye ni member wa chama sawa ha alichotoka hayati yaani CCM.

Tatu, Hakuna Awamu za kuteuliwa au kukaimu katika kitiba ya nchi yetu...bali awamu huja baada ya chaguzi(kupigiwa kura) kufanyika na mgombea husika kupatikana, kuthibitishwa na kuapishwa.

Nne, Na ikumbukwe kila awamu(kipindi cha miaka.10)...inakuja na Ilani/Malengo yake ya utekelezaji.


Turudi kwenye mada....

Hivyo kwa kuzingatia ivyo hapo juu...YAANI MAGU HAKUMALIZA AWAMU YA 5(MIAKA.10), YEYE RAIS.SAMIA HAKUCHAGULIWA KWA CHAGUZI NA PIA BADO ANATEKELEZA ILANI YA AWAMU YA 5 YA MAGU, Hakustaili kuitwa rais wa awamu ya 6...kwa kuwa hadi ivi sasa hakuna ilani ya awamu yake bali bado ni ya magu.

Na kama wewe utaibuka kusema hii ilani iliyopo ni ya awamu ya.6 EBU TUKUMBUSHE YEYE ANAYEJIITA RAIS WA AWAMU YA.6 ALIINADI WAPI ILANI YA AWAMU YA 6?(maana ilani kabla ya kutekelezwa ni lazima inadiwe na ilani hunadiwa kipindi cha chaguzi kwa mujibu wa katiba yetu ya 1977)

Hivyo basi, alistaili kuwa raisi wa 6 katika awamu ya tano(yaani anamalizia utekelezaji wa ilani ya magu/Ya CCM 2015-2025), then kwa mujibu wa katiba kwa kuwa alikaimu muda uliosalia kwa kipindi kilichozidi miaka.3( yaani miaka.4 iliyobakia)...katiba itamruhusu kugombea miaka.5 tu inayofuata akitaka kuendelea na sio zaidi.

Lakini kama angekaimu miaka mitatu au pungufu ya hapo...katiba ingemruhusu kugombea kwa kipindi cha miaka kumi kama akitaka kugombea, yaani hiyo mitatu, miwili au mmoja isingehesabika iliyosalia kwa huyu aliyefariki isingehesabika.

Hivyo, Ata mambo mengi MNAYOSEMA AMEYAFANYA NI UONGO KWA KUWA...MASUALA HAYO YALIKUWEPO KWENYE ILANI YA CCM MWAKA.2015-2025(Awamu ya tano[miaka.10])...hivyo kwa sababu yeye ni awamu ya 6...Fanya utuletee apa ilani ya awamu ya 6 unayoijua wewe na vipaumbele vyake wote tuvichambue apa jukwaani na useme aliinadi wapi?
Sasa wewe unataka kusema huyu Ni Rais wa awamu ya tano , Hivi hata mtoto wako hapo nyumbani akikuuliza huyu Ni Rais wa awamu ya ngapi utamwambia awamu ya Tano? Akikwambia umuhesabie Marais utamwesabiaje mwanao Hadi mh mama yetu Samia Naye awe wa awamu ya Tano?

Pili huyu siyo kaimu Rais Bali Ni Rais kamili wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Ndio maana aliapa kiapo walichoapa Marais wengine walio mtangulia, Hakupewa kiapo Cha ukaimu Urais na Wala hakuna kitu Cha namna hiyo katika katiba yetu, Kama unacho tuwekee hicho kifungu kinachosema huyu Ni kaimu Rais,

Mama Samia Suluhu Hassan Ni Rais kamili wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mwenye mamlaka kamili ya Urais na uamiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Ni Rais kamili mwenye Amri zote na nguvu zote za Urais,
 
Amerudisha furaha na amani

Ameondoa ukabila na udini

Ameondoa uporaji kupitia TRA

Ameruhusu mazungumzo ya kulipa Kodi kidogo kidogo hata kama nadaiwa TRA 200 milioni kwa hiyo biashara zinaendelea.

Penalty za kijinga TRA zinaondolewa, unalipa Kodi ya msingi na riba tu.

Chuki za kisiasa zimepungua.
Bei ya mazao imepanda kwa sasa kilimo ni biashara yenye uelekeo
 
Kuweka kiti ndani ya kiti, hili ni jipya kama ajabu litakuwa la nane
 
Watanzania hamna shukrani.
Huyo mama wa watu kwa uwezo wake kajitahidi mno kuongoza hili taifa la watu wavivu na wanafiki.
 
Elimu bure=Mwendazake alisimamia hili sio yeye
Hajapandisha chochote ilikua ni uhuni tu nasema wananchi wa chini sisemei watumishi ambao ni kundi la wanaofaidi nchi sijui unaelewa nilichouliza na unachojibu??Hapa nazungumzia wananchi sio watumishi ww ni wa wapi?
Kodi ndo wananchi wanazifaidi??Toa hoja acha uongo?Nilichouliza ni tofauti na ulichojibu
Ajira zipi wewe unataka makofi au kwanini unaongopa kumpamba huyo bibi uwongo?
Mabarabara ni ajenda ya mwendazake na Jk tokea huko zake ni zipi

Madarasa yanajengwa tokea enz za jk na shule za kata wala hajaleta yeye
Chuki hujaza ujinga
 
Miundombinu yote ni mwendazake na kikwete na sio yeye
Kama bado inajengwa unasemaje mwenda zake na kikwete!?..kikwete si rais,na magu kafa..wanajengaje miundombinu!?...Samia alisema isijengwe utasemaje!?
 
Samahani mkuu...mie sio mbishani ila nimetaka tu kuweka vitu sawa na wala sina muda wa kutupiana maneno ya hovyo na mwingine.

Huyu mama samia anajikanyaga kwa kuwa...Mara baada ya kupitishwa kuwa rais wa TZ baada ya mzee.magu kufariki ilitakiwa yeye awe raisi wa 6 awamu ya tano...Simply:-

Kwanza, Kwa kuwa hawamu hiyo haikumalizwa na ili ikamilike ni kipindi cha miaka.10.

Pili, Yeye ni member wa chama sawa ha alichotoka hayati yaani CCM.

Tatu, Hakuna Awamu za kuteuliwa au kukaimu katika kitiba ya nchi yetu...bali awamu huja baada ya chaguzi(kupigiwa kura) kufanyika na mgombea husika kupatikana, kuthibitishwa na kuapishwa.

Nne, Na ikumbukwe kila awamu(kipindi cha miaka.10)...inakuja na Ilani/Malengo yake ya utekelezaji.


Turudi kwenye mada....

Hivyo kwa kuzingatia ivyo hapo juu...YAANI MAGU HAKUMALIZA AWAMU YA 5(MIAKA.10), YEYE RAIS.SAMIA HAKUCHAGULIWA KWA CHAGUZI NA PIA BADO ANATEKELEZA ILANI YA AWAMU YA 5 YA MAGU, Hakustaili kuitwa rais wa awamu ya 6...kwa kuwa hadi ivi sasa hakuna ilani ya awamu yake bali bado ni ya magu.

Na kama wewe utaibuka kusema hii ilani iliyopo ni ya awamu ya.6 EBU TUKUMBUSHE YEYE ANAYEJIITA RAIS WA AWAMU YA.6 ALIINADI WAPI ILANI YA AWAMU YA 6?(maana ilani kabla ya kutekelezwa ni lazima inadiwe na ilani hunadiwa kipindi cha chaguzi kwa mujibu wa katiba yetu ya 1977)

Hivyo basi, alistaili kuwa raisi wa 6 katika awamu ya tano(yaani anamalizia utekelezaji wa ilani ya magu/Ya CCM 2015-2025), then kwa mujibu wa katiba kwa kuwa alikaimu muda uliosalia kwa kipindi kilichozidi miaka.3( yaani miaka.4 iliyobakia)...katiba itamruhusu kugombea miaka.5 tu inayofuata akitaka kuendelea na sio zaidi.

Lakini kama angekaimu miaka mitatu au pungufu ya hapo...katiba ingemruhusu kugombea kwa kipindi cha miaka kumi kama akitaka kugombea, yaani hiyo mitatu, miwili au mmoja isingehesabika iliyosalia kwa huyu aliyefariki isingehesabika.

Hivyo, Ata mambo mengi MNAYOSEMA AMEYAFANYA NI UONGO KWA KUWA...MASUALA HAYO YALIKUWEPO KWENYE ILANI YA CCM MWAKA.2015-2025(Awamu ya tano[miaka.10])...hivyo kwa sababu yeye ni awamu ya 6...Fanya utuletee apa ilani ya awamu ya 6 unayoijua wewe na vipaumbele vyake wote tuvichambue apa jukwaani na useme aliinadi wapi?
Kwamba rais akiongoza kwa miaka mitano Kisha uchaguzi inayofuata akashindwa,hiyo haihesabiki awamu kwa kuwa haijatimu miaka kumi!?...mgombea mwenza wa urais siyo mgombea!?..kwamba kipimo Cha awamu ni ilani!?..
 
Mnaweza kunambia ni kipi cha maana alichokifanya rais Samia hadi sasa ambacho kimegusa raia wa kawaida au kumsaidia??

Nambieni ni kipi kakifanya ambacho kinaweza kuwa sababu ya yeye kusema amefanya kazi ya kusaidia wananchi wake

Nataka kimoja tu ambacho kakifanya ambacho tunaweza kusema kimemgusa mtu wa chini tokea awe Rais
Umekalisha matko yako chini unachati kwa amani, hiyo ni kazi ya Samia
 
1. Elimu bure hadi KIDATO CHA SITA

2. UJENZI WA MADARASA

3. KUPANDISHA MADARAJA YA WATUMISHI NA KUONGEZA MISHAHARA YAO.

4. KODI BILA MTUTU WA BUNDUKI NA DHULMA KWA WAFANYABIASHARA.

5. AJIRA SEKTA ZOTE (ELIMU, AFYA, ULINZI NA USALAMA, TAASISI ZOTE NK)

6. BARABARA NYINGI HASA ZINAZOSIMAMIWANA TARURA.

TUNAWEZA KUANDIKA MPAKA KESHO.

NB. CHUKI ZA DINI YAKE USILETE KWENYE MAISHA YA KAWAIDA NA KUTAKA WATU WENGINE WAMCHUKIA. ADUI WAKO SIO ADUI WETU SISI.
MBOLEA YA RUZUKUUU, SOKO LA MAZAO KUFUNGUKAAA, AMANI NA UTULIVUU KUONGEZEKAA
 
Anapendwa na wengi na anakubalika kwa 98%,sisi ccm kindakindaki hutuambii lolote, yapo mapungufu lakini ni kidogo mono! Zaidi yamesimamia kwenye kupanda kwa nafaka za vyakula jambo ambalo linafanyiwa kazi, acha kusemea wengi.
N. B, nchi iliaribika kupitiliza it needs/takes times to heal wounds!
Kama kweli tuthibitishe kwa 'Tume huru ya uchaguzi'.. ....!!
 
Elimu bure=Mwendazake alisimamia hili sio yeye
Hajapandisha chochote ilikua ni uhuni tu nasema wananchi wa chini sisemei watumishi ambao ni kundi la wanaofaidi nchi sijui unaelewa nilichouliza na unachojibu??Hapa nazungumzia wananchi sio watumishi ww ni wa wapi?
Kodi ndo wananchi wanazifaidi??Toa hoja acha uongo?Nilichouliza ni tofauti na ulichojibu
Ajira zipi wewe unataka makofi au kwanini unaongopa kumpamba huyo bibi uwongo?
Mabarabara ni ajenda ya mwendazake na Jk tokea huko zake ni zipi

Madarasa yanajengwa tokea enz za jk na shule za kata wala hajaleta yeye
nilichokiona kutoka kwako ni chuki TU kwani watumishi sio wananchi ? kama haujui Kuna watumishi wa kipato Cha chini kabisa ndio aliowagusa kweny annual increment ya mwaka huu .
Pili Zungumzia suala la ajira Mama Katoa vibari vya ajira kada mbalimbali Tena Kwa idadi kubwa sana sasa nenda kitaa uliza wangapi wamerudi mtaan kwasabab ya kumaliza mkataba huko JKT utakimbia kaka operation kibao zimerudi kitaa coz mwamba hakutoa Ajira. Pia Kuna upepo ulipita ikaonekana hata hizi elimu zetu sio kitu tena watu Wana graduate unakuwa nao kitaa Hamna michongo lakin kwakipindi hiki dhana ishaanza kufutika watu wanachukuliwa.
kwahy kiukweli Mama anagusa maisha ya watu akiongezwa mshahara mtumishi yule Ambae si mtumishi atapata pa kupiga rungu pesa itazunguka kariakoo nyomi itaongezeka machinga Maji watauza ni hayo
 
Samia yeye anafukuzia tuzo za umoja wa maifa. Yani anaenda kinyume na magu

SSH nilikuwa na matumaini lkn sasahivi naona aibu tu kusema bora ya mwenda zake
 
Back
Top Bottom