pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
WanatuchanganyaTulipowaita barabarani sept 23 mbona hawakutokea?
sheeenz
๐๐๐๐๐, nacheka kama mazuriKuna mbweha zinamsifia mama kwa kutumbuliwa naibu raisi wa kenya.
Mvua ikinyesha, mama anaupiga mwingi. Pumbavu.
Na ulivompenda ukafaidika na Nini?Mukimchukia nyinyi inatosha si lazma wote tumchukie sio pesa yeye kwamba apendwe na kila mtu pia sio kinyesi yeye achukiwe na kila mtu.
We ulipomchukia hadi sasa umeongeza nini kweny maisha yako? Huo mwanzo tu picha bado halijaanza hadi mufe kwa chuki awamu hii CHADEMUNa ulivompenda ukafaidika na Nini?
Uchawa nao KAZI, haya Kila la kheri kwenye mapenzi yakoWe ulipomchukia hadi sasa umeongeza nini kweny maisha yako? Huo mwanzo tu picha bado halijaanza hadi mufe kwa chuki awamu hii CHADEMU
Abui umekuja juu kumtetea haloo yako๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWe ulipomchukia hadi sasa umeongeza nini kweny maisha yako? Huo mwanzo tu picha bado halijaanza hadi mufe kwa chuki awamu hii CHADEMU
ู ูุชูุง ุจุบูุถูู ๐๐Uchawa nao KAZI, haya Kila la kheri kwenye mapenzi yako
ู ูุชูุง ุจุบูุถูู ๐๐Abui umekuja juu kumtetea haloo yako๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ