Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Huu uzi ni kama ule wa anaefahamu jpm anatupeleka wapi ambao uliwekwaga sticker note.

Nadhan watu wanataka tu umaarufu, mtu hana hata siku 100 ofisini,mbongo kashakuja huku kuanzisha uzi eti hajui Rais anatupeleka wapi.

Determinant factor yako ni ipi...huoni ni mapema sana kuanzisha uzi judgemental kama huu.
 
Samia yuko very real, je ni mara ngapi alitaka kujiuzulu?
.usichokijua sio kwamba watu Walimpenda JPM ,bali wengi tuipigia kura ccm kwa ili tumiliki ndege,umeme ,barabara,maendele ya vitu. Tulikataa Tundulisa kwa sera ya maendeleo ya watu.
 
man umepotosha mbaya. kwanza kwenye kauli zake bi mkubwa. hakuna mahali kasema eti ataunda team ya kukubali au kukataa chanjo.

alichosisitiza ni kuwa tanzania si kisiwa, tuna intergration na mataifa yenye covid.
tume itakayoundwa ni ya kufanya tafiti na kutoa ushauri nn kifanyike ili kupambana na madhara ya covid.

pili hakuna mahali mama kamsema marehemu vibaya. sijasikia kwenye kauli yake akisema hakukubaliana na uongozi wa JPM. Hakuna

muache kumlisha rais maneno yenu.
 
Bora Hata magu tulikua tunamjua ni mtambo na hajifichi wala nini , sasa huyu Mama anajifanya anatupooza kinafiki wakat Moyo wake anaujua wenyewe ulivyo
 
She is not our president , we never elected her, hatumtaki, huyu Mama sio mtu mzuri , my instincts are seldom wrong
 
Mnapenda kuambiwa wanyonge na wazalendo 'Things will change for the better, though not overnight we have to be patient '
 
Ni kazi kubwa! Wafanyakazi wanataka ongezeko la mishahara, wafanyabiashara wanataka mishahara ipungue (maana yake kodi ipunguzwe), kazi kwake SASHA.
Kodi ilishapunguzwa kwenye ngazi ya chini tu; ngazi ya kati na juu ni kidogo sana. Mshahara ndio unatakiwa kuongezwa maana mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2015 kinyume na sheria za kazi. Vyama vya wafanyakazi na chama cha waajiri KIMYA. Ukiwauliza je, kiongozi anaweza kumudu maisha kwa malipo ya shilingi 80,000/= hadi 150,000/= kwa mwezi kwenye miji yenye kiwango cha hali ya maisha kuwa juu kama Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya, Dodoma nk
1. Makato NSSF-8,000-15,000
2. Gharama chakula mlo mmoja shilingi 2,000 mara tatu mara watu wanne tegemezi inaleta jumla shilingi 24,000/= kwa siku mara mwezi mzima jumla kuu shilingi shilingi 720,000
3. Usafiri kwa siku shilingi 3,000 mara mwezi mzima angalau siku 26 au 28 jumla shilingi 84,000
4. Gharama za kumwezesha mtoto kuhudhuria shule ijapokuwa ada inalipwa na serikali kwa kiwango cha chini ni shilingi 300,000 kwa mwezi
5. Gharama za matibabu ni kubwa sana (angalau matumizi ni 150,000) kwa mwezi

Gharama kwa mwezi shilingi 1,269,000/=

Kipato kati ya shilingi 80,000/= hadi 150,000/= je atamudu vipi maisha kama sio kuwafundinsha kufanya WIZI kwa gharama ya hatari kwake binafsi na mwajiri wake?
* Minimum salary must be pegged at least at TZS 400,000/= and price of the consumable goods controlled to the maximum to avoid inflating the value for personal gain.
 
Karejee vizuri kusikiliza jkwa kutumia 'contents interpretation analysis' halafu rejea hapa. Kasema ataunda timu. Ndio hakuna sehemu aliyotamka JPM kwani mamlaka kabla yake alikuwa nani anapohoji anataka kujiridhisha wakati alikuwepo wakati hayati akisema kitu hicho hicho? Usiegemee upande wowote kutoa maoni, weka rula unyooshe ulichokielewa sio kupinga tu.
 
Mataga posho ilipanda kutoka buku saba hadi 50k.... sasa mtakula kwa jasho
 
Kati ya mazuri mengi ya SSH, ni amejua kuwakera! You are in for long 4 Years, kuleenyai! Mtakunywa maji na karai miaka hii!
 
Mtasema mengi sana,
Dira na mipango yote ya maendeleo huwa anayo Rais kama mali yake?
Mbona uzi huu dhahir una hasad, ni wa kishetani sana.
Nchi inaongozwa kwa mujibu wa katiba ya JMT,mleta uzi ulitakaje ?
Una roho mbaya sana, unahitaji toba.
Una chuki binafsi, hufai kabisa.

Nyinyi ndio wavunja nchi, mescenaries,mna tabia za kimalaya malaya, mnahongwa.
 
Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
Mwacheni Madam afanye Kazi. Pole yenu mliozibiwa mianya ya Kujimwambafai. Watu tuko happy tunamuelewa. Amelaaniwa amtegemeaye Mwanadamu kuwa Kinga Yake Kwa Sababu Mwanadamu hadumu Duniani.
 

JPM alinadi ilani tofauti na ya watangulizi wake. Ilani ya Samia ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…