Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Ni kweli mama Ana uwezo mdogo lakini kama wasaidizi wake wakiwa wazuri Basi hamna shida



Siku zote wanawake huwa Wana uwezo mdogo ndo maana 99.999% ya manabii Ni wanaume...walioacha legacy Wengi Ni wanaume
Yumkini ni kutokana na kumtambua mwanamume (mfumo dume) ktk kuendeleza vizazi
 
Binadamu akishazowea utumwa anakua hathamini uhuru wake. Anaweza akafanya kila njia aweze kurudia tena utumwani.

Mkuu huoni hayo mabishano na malumbano ndio uhuru na haki yenyewe ambayo huwapa watu furaha na matumaini katika nchi yao? Kipindi cha mwenda zake ndio wakati kuliibuka vipindi vingi sana vya michezo radioni tena kuanzia asubuhi. Hii ilitokana na watu kunyimwa uhuru wa kujadili mambo mengine yanayohusu nchi yao na jinsi wanavyoongozwa/tawaliwa na viongozi wao
 
...huna hoja.

Kwamba huelewi kuanzia Rais Samia hadi baraza lote la mawaziri ni timu Magu!?
 
Inasikitisha sana! Toka ashikilie kiti hajafanya ziara hata moja kwenye miradi mikubwa ya kimkakati! Hajui hiyo miradi ukiacha mwanya kidogo tu unapigwa hata na mawaziri wenyewe!
 
Nyerer mkapa kikwete, maguful wote tunalalamika hawakuweza sasa nani anawezaa!??
 
Huu ulozi mwingine wenye harufu ya taga la jiwe
 
...huna hoja.

Kwamba huelewi kuanzia Rais Samia hadi baraza lote la mawaziri ni timu Magu!?
Baraza lote ni kanda ya ziwa,DPP,Jaji mkuu,IGP,CDF, MaDeD karibia wote,RC karibia wote, DC karibia wote, takukuru,TISS. Hao wote ukanda ule. Leo mnasema ataongoza Tz. Yetu macho
 
Tuambie unamtaka nani??

Unapomkataa yeye unamtaka nani?
Unayeona anafaa.

Usiogope mtaje tu hata kama ni Askofu Rashid.
Au waweza hata kusema badala yake awe Bashite.
Pendekeza tu yupi anafaa Bashiru au Slow

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…