Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwaiyo kachoma mafuta bure? Kuongelea mahindi au kuna vitu vingine sio kwa faida ya PUBLIC?
Ndio hapo sasa. Inaingia akilini kweli? Yaani mtu anaanzisha uzi humu kumaanisha rais kachoma mafuta bure. Kuna watu wenye vichwa vya ajabu humu.
 
Yaaani kaka mimi nimesoma hizi nyuzi za wadau nikagundua kama taifa bado tuna safari ndefu, mbumbu bado ni wengi sana to the extent hata hawajaona umuhimu w safari ya mana kenya
 
MATAGA waunde chama chao cha siasa,kwa sasa hawana nafasi CCM ya SSH na serikalini.... Zama zao kwishney
 
Ile Kadhia Ya Kuzomewa Ukivaa jezi Za CCM Kariakoo naiona Ileeee Inarejea....! Mama Kaza Roho...!
 
Sema utazikumbuka show off za kwenye camera.Dili za kununua mapapai, chips, kuku,samaki propaganda hizo zimekufa kibudu.
 
Nyie wengi wenu mlivutiwa na zile kelele zake na kuongea kwa vitisho na kujifanya mwamba kumbe werevu wanamchora tuu kikowapi sasa mbona imemuondoa? Au hujuwi kilichomuua mungu wenu?
Wajinga tu ndo mnadanganywa jpm kafa kwa corona
 
Kwani na nyinyi si mmekaribishwa kwenda kuwekeza Kenya.
 
Magufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??

Ila jpm alikuwa chuma aisee
Alikuwa chuma hasa.
 
Mtazid kuweweseka,mnataka akae chato kwani ye panamuhusu??mwache afanye analoliona linafaa KWA nchi yetu,yeye ndo RAIS
 
Mpaka dakika hii mataga bila bila ( Mama 5- Mataga 0)

Lazima tu walete majungu
 
kwahiyo kumbe alienda kusawazisha ili mahindi yauzike[emoji23][emoji23][emoji23]ambayo yaliachaa kununuliwa tokea mwezi feb???kwani tulikuwa tumewakosea kitu gani mpaka wakazira kununua mahindi??

ndio maana huwa nasema hawa majirani walikuwa wanacheza vyema sana wimbo wa jpm,huyu mama watamchezea mpaka ashangae.

mipango,majaliwa mnaangalia tu mambo yanavyoharibika,sisi tutawaparamia nyinyi mnaoacha mambo yajiendee tu.
 
hivi ilikuwaje wakaacha kununua mahindi??
 
Nawewe jinyonge basi ili tujue unakereketwa.

Na hapo bado hadi mtahama nchi mrudi kwenu burundi.
siku hizi unaimba taarabu kama dr kumbuka[emoji23][emoji23].

warundi na wasukuma ni kitu moja eh??
 
Mpaka dakika hii mataga bila bila ( Mama 5- Mataga 0)

Lazima tu walete majungu
mama 5-mataga 0 AGG ni 5:18

mshindi wa pili hapo anatakiwa akutane na UFIPA ambao wanashika mkia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…