miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Na tutamuingezea mikumi tena atake asitakeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]
Mama kama mamaa
Mama kama mamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hujaona hoja hapo??? Kukopa fedha na kutengeneza madeni makubwa kwa Taifa huku akienda kujenga kijijini kwao chato ndo kuifanya nchi initegemee???
Lazima sukuma gang mteseke sana Safari hii!
Sema nafsi yako mkuu JPM hajasahaulika kwa watanzania wazalendo wenye nia njema na nchi yake ila kasahaulika kwa wapiga dili na mafisadiMarehemu POMBE amefanya lipi la kukumbukwa? Kwann usijiulize kwann watanzania wamemshahau mapema kiasi hiki?.
Hii nchi imejitemegea lini bila kutegemea nchi wahisani? Wewe ni lofa Tu uliyeishiwa mipango, MUNGU aliyemwondoa magufuli ndiyo anajua na ndiye aliyepanga haya yote
You're not alone.Mimi kwa kweli nimeshakata tamaa..
Kweli kabisa,mfanyabiashara wa kitz au afrika kiujumla somo la kulipa kodi bila shuruti ni kitu kigumu.Swala la Kodi mtu akilifanya kuwa ni ngazi ya kupanda kisiasa, lazima serikali iwe hoi
Mkuu unawakera mnoo,waachie japo kapumzi ka kupumua hawa watu,yaana hadi nawaonea huruma,wamebakia kulialia hukuSo kwa akili yako miradi ya chato nayo ataendeleza? Hata daraja la busisi tunapiga chini kwanza
Kwa hiyo wewe ndo unataka unitangulize mbinguni kwa kunishughulikia siyo??Wakati wa Magu uliyaelewa? Mshamba ni wewe na magufuli wako.
Muda utaongea.Swala la Kodi mtu akilifanya kuwa ni ngazi ya kupanda kisiasa, lazima serikali iwe hoi
Hahahahahahaaa!dah!jf raha sanaa,kwa hyo mataga leo ndo wamekuwa wakala wa mabeberu sio?Kama Jpm haikummaliza, mama haitammaliza.wewe utakuwa unatumika na mabeberu