MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Njia ya kwenda kwako ina mashimo, mnachimba madini gani hapo!?
Utawala wa JK nauona tayari, na nchi itarudi kuwa mashimo kama ataruhu madini yachimbwe hata kwenye hifadhi za wanyama[emoji35]