kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Hizo za chato hazikua ziara rasmi nchini ila za kikazi. Ukisikia rais anafanya ziara nchi fulani..hizo ndio tunata wapokelewe dodoma sio dar au makunduchi.Walivyokuwa wakipokelewa Chato mlikuwa kimyaa