MAMA unatulazimisha tusimame wima kutetea haki zetu za kikatiba, tutakupinga, utakasirika, utaanza kujilinda, utatuwinda, wapambe wataanza kutusaka, watatukamata, tutapewa mashtaka ya uchochezi & uhujumu uchumi. Mama, washauri wako hawajakushauri bado. Usikubali kuchukiwa kizembe
Very good advice
Asipokuwa makini sasa hivi ataanza kutafuta mchawi.