Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Lakini mnasemaga bora demokrasia kuliko uchumi/maendeleo ya vitu. Kwamba gadafi aliwa walibya kila kitu kasoro demokrasia wakamtoa. Sasa basi kuleni demokrasia itumieni kutolea pesa kwenye miamala yenu ya tigo na mpesa.
Tozo za kidikteta hizi nani alishirikishwa.
Tungekuwa na demokrasia tusingekuwa masikini
 
Aliambiwa asuke upya safu yake hakusikia waliopo wanamuhujumu kumfitinisha na wananchi asikii ngoja mguu uote tende.Sukuma gang mataga at work.
Mkuu hizi tozo raisi mwenyewe karidhia, hakuna waziri anayeweza kwenda kinyume na raisi. Hivyo huu ni msalaba wake
Dawa ni katiba mpya tu, watoke hawa wapu..#$$#....vu
 
Naona kabisa Mama anahujumiwa na watendaji kuanzia mawaziri na wengine
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu
Nauli mabasi mikoani juu
kodi za kusafirisha bidhaa nje kubwa mnoo
MAMA YETU UNA MAMLAKA MAKUBWA KWA KATIBA HII FUKUZA WOTE KUANZIA WAZIRI TAFUTA TEAM MPYA YA UCHUMI KWA MASLAHI YA WATANZANIA
Hii kitu sio kweli, hakuna waziri anayeweza kufanya kinyume na raisi.
Raisi ndio kaleta hilo kawapa mawaziri
Mawaziri na watendaji wanafata kile raisi anataka, ndio maana leo unaona chanjo inakuja hakuna waziri anayeweza kukataa isiletwe. Na kesho raisi akiamka akasema chanjo haifai, haohao mawaziri utaona nao watavyogeuka
 
Mama ajui michezo ya siasa,msingida mbio za uraisi ajakata tamaa bado ngoja amuharibie mama Kwanza
kwa kweli anahitaji kujua michezo hii kuanzia awamu ya kwanza yalikuwepo mpaka sasa yanaendelea haya ndio mambo yaliyokwamisha mambo mazuri kufanyika ni kazi ya kumhujumuu tu rais mara zote, mkapa alifukuza mawaziri hapo kwa hapo alipoona wanamzingua Mama asome historia ya mkapa na watendaji wake kwa miaka mitano ya mwanzo. 1995-2000.
 
kwa kweli anahitaji kujua michezo hii kuanzia awamu ya kwanza yalikuwepo mpaka sasa yanaendelea haya ndio mambo yaliyokwamisha mambo mazuri kufanyika ni kazi ya kumhujumuu tu rais mara zote, mkapa alifukuza mawaziri hapo kwa hapo alipoona wanamzingua Mama asome historia ya mkapa na watendaji wake kwa miaka mitano ya mwanzo. 1995-2000.
Mwache acheke nao na huruma zake zitamponza.
Ye ana mamlaka anashindwa vipi kusuka upya safu yake mpya hadi abaki na walioathirika na sumu za mwendazake.Hali mtaani wasomi wa maaana wamejaa.
 
Mwache acheke nao na huruma zake zitamponza.
Ye ana mamlaka anashindwa vipi kusuka upya safu yake mpya hadi abaki na walioathirika na sumu za mwendazake.Hali mtaani wasomi wa maaana wamejaa.
Hiyo safu unayotaka aisuke inatoka wapi? CCM ni haohao
Akimtoa mwigulu utashangaa kamuweka kigwangalla, akimtoa kigwangalla utashangaa kamuweka Juliana shonza
CCM ni haohao
 
Hiyo safu unayotaka aisuke inatoka wapi? CCM ni haohao
Akimtoa mwigulu utashangaa kamuweka kigwangalla, akimtoa kigwangalla utashangaa kamuweka Juliana shonza
CCM ni haohao
Umenena,bora achukue upinzani
 
Lakini mnasemaga bora demokrasia kuliko uchumi/maendeleo ya vitu. Kwamba gadafi aliwapa walibya kila kitu kasoro demokrasia hivyo wakamtoa. Sasa basi kuleni demokrasia itumieni kutolea pesa kwenye miamala yenu ya tigo na mpesa.
Kuna makondoo ya ufipa utadhani yalilogwa,oo democracy ni muhimu na Uhuru wa kuropoka Kama chiriku ndiyo ilikuwa hitaji lao,wamepewa Sasa Tena yamegeuka.
 
Bado makato ni madogo sn mwigulu aongeze makato ili miradi iishe haraka, ili tulia akson ana sauti nzuri jamani, sura tu ndio imemuharibia,

Me manzi akiwa Na sauti kama ya tulia lazima niamshe popo athumani bichwa wazi na amakuwa na added advantage kwenda uvinza

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom