Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

We msifie tu kuwa anaupiga mwingi, pochi la mama, yeye ni mungu, uchumi umepanda, maisha mazuri na n. K
Kesho tu Uteuzi kwako
 
Utawala ni watu ,mamlaka ni majeshi ! Kibali Cha mungu ni sauti ya watu ! Rais wangu wateule wako ni WA kwako sio wa kwetu ! Usipime Imani yetu kupitia wateule wako ! Wateule wako wapo ili wakufurahishe wewe ni sio kutuhudumia sisi hili unalijua? Aliyeshiba hamjui mwenye njaa! Juzi wametutangazia nafasi za kazi kwa mbwembwe ! Kwamba wewe umeidhinisha waajiriwe waalimu 12000!! Na wauguzi kadhaa wa kadhaa ! Tulijua shule zitafungua na waalimu wapya watakuwa kazini na tulidhani upungufu wa waalimu unaenda kutatuliwa mara Moja ! Kinyume chake shule zimefunguliwa Kila mtu yupo kimya ! Hakuna ajira kwa waalimu Wala wauguzi ! Vijana wetu waliposikia mbwembwe za waziri wa tamisemi walianza kumeza mate ya matumaini lakini wameanza kupaliwa kwa ukimya wa wizara ya elimu pamoja na tamisemi !! Ninini ambacho kilifanya mtangaze ajira ambazo Bado hazijawa tayari ? Rais wangu watanzania huku vijiweni wanaongea vitu tofauti na unavyoambiwa na wateule wako !huku mtaani Hali ni ngumu !! Narudia Tena hali ni ngumu !! Weka utaratibu wa kutusikiliza sio Kila kitu kipitie kwa wateule wako wanakudanganya !!
Kamshitaki kwa mjumbe wako wa nyumba 10.
 
umeskizwa hata kwa hili bandiko lako tu 🐒

kua mstahimilivu na mwenye subra...
ajira nyingi kama hizo ni mchakato. usiwe na moyo wa kukata tamaa na kulaumu hali ngumu....

fursa rasmi hivi sasa kwenye kilimo ufugaji, biashara n.k zipo nyingi tu anza nazo ukisubiri hizo za ajira...

serikali sikivu ya CCM itamkiza kila mTanzania mwenye maoni na mtazamo wa kujenga ili kama Taifa tusonge mbele Pamoja 🐒
Ngoja tumalize kutatua changamoto za wasanii kwanza
Mambo ya wasanii ndiyo jambo
Muhimu sana kuliko yote nchi hii
😄

Ova
 
Chura kaziba mackio yake TU!!





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Utawala ni watu ,mamlaka ni majeshi ! Kibali Cha mungu ni sauti ya watu ! Rais wangu wateule wako ni WA kwako sio wa kwetu ! Usipime Imani yetu kupitia wateule wako ! Wateule wako wapo ili wakufurahishe wewe ni sio kutuhudumia sisi hili unalijua? Aliyeshiba hamjui mwenye njaa! Juzi wametutangazia nafasi za kazi kwa mbwembwe ! Kwamba wewe umeidhinisha waajiriwe waalimu 12000!! Na wauguzi kadhaa wa kadhaa ! Tulijua shule zitafungua na waalimu wapya watakuwa kazini na tulidhani upungufu wa waalimu unaenda kutatuliwa mara Moja ! Kinyume chake shule zimefunguliwa Kila mtu yupo kimya ! Hakuna ajira kwa waalimu Wala wauguzi ! Vijana wetu waliposikia mbwembwe za waziri wa tamisemi walianza kumeza mate ya matumaini lakini wameanza kupaliwa kwa ukimya wa wizara ya elimu pamoja na tamisemi !! Ninini ambacho kilifanya mtangaze ajira ambazo Bado hazijawa tayari ? Rais wangu watanzania huku vijiweni wanaongea vitu tofauti na unavyoambiwa na wateule wako !huku mtaani Hali ni ngumu !! Narudia Tena hali ni ngumu !! Weka utaratibu wa kutusikiliza sio Kila kitu kipitie kwa wateule wako wanakudanganya !!
Tatizo watu mnapenda sana kudanganywa. Mkiambiwa ukweli hamtaki ila mkidanganywa mnashangilia.
 
Kuwajaza watu ujinga
Wasanii wako kaole huko
Nyie wadangaji na mamarioo mnasema wasanii 😄
Hivi ngoma ngumu kama mimi nikae niangalie bongo movie
Wanangu wenyewe mpk wanakuwa hawajawahi kutizama huo uchaf

Ova
wewe skiza ngoma kali tu kama vile maisha, Dotinata, Leo Imefika Siku yangu za akina Bana Mwambe na msondo ngoma ya waTanzania, ujiliwaze siku iishe vizuri 🐒
 
Ile alisema mh kwamba anaweka utaraibu wa kusikiliza kero za wananchi kila mwisho wa mwezi itaanza mwei gani labda?
 

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Chura KIZIWI 🤣😅
 

Hivi huyu ni raisi wa nchi gani ?
Au nipo nje ya wakati .Tafadhari naomba niongee tu pasina kuhofia chochote kwa sababu inanikela.
Nawaunga mkono viongozi kama Mh.Job Ndugai na viongozi wote ambao wanapinga mauzi ya huyu mama yenu.

Kwa kweli ni raisi ambaye anahitajika ajifunze sana kuhusu UONGOZI na kama itafaa aachane nao .
▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷▷Hana utu wa kusikiliza kukosolewa zidi ya maamuzi yake ya kishamba
▷Kwani kama yeye ni kiongozi bora kwanini anadhindwa kuwa na staha katika majibu ya katiba mpya ?????
▷Na tudipo shituka huyu mama anpango mbaya sana na TZ na si mwema kabisa nahisi anawatengenezea akina ndugu maisha na sio TZ
▷Nadhani aipidhe tu nchi , huwezi kulionhoza Taifa kubwa kwa kutumia Elimu ya Darasani .

▷🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊▷
NB Watu wadiojulikana pia nawahitaji tuongee nao pia siwez kuwaacha kitawalamba
 
Mnafanya nn?

Screenshot_20240706-124133.png
 
Back
Top Bottom