Hata huku bunju umekatika toka usku hadi sasa hiviEneo nililopo Mbagala umeme ulikatika usiku wa manane kabla ya saa nane usiku mpaka hivi sasa saa mbili naa asubuhi umeme haujarudi. Ni hivi karibuni mheshimiwa alisema mtambo mmoja mpya umewashwa huo ndio mwisho wa kukatika kwa umeme, umeme ndio huo umekatika.
Hivi hawa viongozi wa CCM kwanini wanakuwa na haraka ya kutatua matatizo kwa mdomo!
hakuna mgao,Eneo nililopo Mbagala umeme ulikatika usiku wa manane kabla ya saa nane usiku mpaka hivi sasa saa mbili naa asubuhi umeme haujarudi. Ni hivi karibuni mheshimiwa alisema mtambo mmoja mpya umewashwa huo ndio mwisho wa kukatika kwa umeme, umeme ndio huo umekatika.
Hivi hawa viongozi wa CCM kwanini wanakuwa na haraka ya kutatua matatizo kwa mdomo!
hitilafu gan hii ya kila wikiHii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!
hitilafu gan hii ya kila wiki ..kipindi cha jiwe hitilafu za mara kwa mara zilikuwa znamwogopa auhakuna mgao,
ni hitilafu ya kawaida katika grid ya Taifa, na tatizo linahughulikiwa kwa nguvu zote na muda usio kua mrefu hali itarejea itarejea na kua kama kawaida π
kua mustahimilivu kua na subra π
kila wiki wapi tena ndugu mwananchi? πhitilafu gan hii ya kila wiki ..kipindi cha jiwe hitilafu za mara kwa mara zilikuwa znamwogopa au
Somo la ustahimilivu naamini likishindanishwa duniani, Watanzania tutaongoza kwa A+ tena ya 99.99hakuna mgao,
ni hitilafu ya kawaida katika grid ya Taifa, na tatizo linahughulikiwa kwa nguvu zote na muda usio kua mrefu hali itarejea itarejea na kua kama kawaida π
kua mustahimilivu kua na subra π
Isijekuwa kama harakati za mwendokasi kumsaka mwekezajiCombinations ya idara ya maji na TANESCO sikia tu kwa jirani
Kwa waarabu tena π€£π€£π€£π€£Hili shirika liuzwe
π wengine waliwahi kusema wataanza kuuza huu umeme wetu ambao hata haututoshi.Inakua fisi sometimes
...Watanzania washakuwa wasomi wajanja, taja hiyo hitilafu ili tuone kweli mko serious na mna nia ya kutatua tatizo!
Tangu mmeanza matengenezo ya mitambo na mifumo miaka mitatu iliyopita, bado tu mnapata hitilafu?
Nataka kujua, line ya kwenda Magogoni na line inayoenda Kizimkazi, na zenyewe zimezimwa kwaajili ya hitilafu?
hata hivyo ni vizuri zaidi hata kupata zaidi ya hiyo πSomo la ustahimilivu naamini likishindanishwa duniani, Watanzania tutaongoza kwa A+ tena ya 99.99
Tatizo ni siku watakayojitambua!hata hivyo ni vizuri zaidi hata kupata zaidi ya hiyo π
ustahimilivu ni jambo muhimu sana popote inasaidia kuepusha uharibifu mwingi π
Tushawachoka Kila siku grid ,labda wanamhujumu Samia na BitekoTuliambiwa mgao wa umeme sasa basi!
Hali tangu jana ni hii, vipi nyie huko kwenu?
Hili shirika liuzwe
Miaka mingapi sasa CCM wanatudanganya?
Kwahiyo Tanzania yote haina umeme? Duh