Kujiridhisha ni kufika kwene eneo la tukio, ratiba huwa haina umeme kwani ni maandishi tu.unayo ratiba ya mgao apo tujiridhishe 🐒
Wamegundua hata wauze nchi nzima hakuna wa kuwafanya loloteTengeneza tatizo, ionekane ulazima wa kubinafsisha kitu. Bandari, DART, now Tanesco [emoji16] - Alisikika Mlevi mmoja akisema.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Elimu ya VETA ya umeme wa nyumbani wa kunyoosha nguo na kuwasha Maisha Magic Bongo tv sio sawa umeme wa nchi nzima ,hata terminology hautazielewa..
Kila mtu atulie katika nafasi yake.
Haya mambo yana mwisho. Na mwisho ni mbayaWamegundua hata wauze nchi nzima hakuna wa kuwafanya lolote
Wengi hawafahamu maana ya siku kama ya leo siku ya wajinga.Hii siku ni kweli historia inaonyesha zanani wajinga waliitumia siku hii kuonyesha ujinga waoWengine tumelala Giza tokea usiku mpaka Sasa hakuna umeme, ,
wewe taja hapa tudadavueElimu ya VETA ya umeme wa nyumbani wa kunyoosha nguo na kuwasha Maisha Magic Bongo tv sio sawa umeme wa nchi nzima ,hata terminology hautazielewa..
Kila mtu atulie katika nafasi yake.
Hasa ikiungana na usafiri kwa ujumla wake.Combinations ya idara ya maji na TANESCO sikia tu kwa jirani
Tuliambiwa mgao wa umeme sasa basi!
Hali tangu jana ni hii, vipi nyie huko kwenu?
Dah!Wengi hawafahamu maana ya siku kama ya leo siku ya wajinga.Hii siku ni kweli historia inaonyesha zanani wajinga waliitumia siku hii kuonyesha ujinga wao
Leo Tanesco wanaonyesha ujinga wao kama sehemu ya kusherehekea siku hii inayohusu wajinga wote duniani ikiwemo Tanesco ya Tanzania kwa vitendo kwa kukata umeme
Hivi Sasa ni saa Tano kamili na hakuna umeme.Eneo nililopo Mbagala umeme ulikatika usiku wa manane kabla ya saa nane usiku mpaka hivi sasa saa mbili na asubuhi umeme haujarudi.
Ni hivi karibuni mheshimiwa alisema mtambo mmoja mpya umewashwa huo ndio mwisho wa kukatika kwa umeme, umeme ndio huo umekatika.
Hivi hawa viongozi wa CCM kwanini wanakuwa na haraka ya kutatua matatizo kwa mdomo!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hasa ikiungana na usafiri kwa ujumla wake.
Basi serikali ianzishe tahsusi mpya mashuleni inayoitwa HTE: Haidro, Transportation & Electricity, badala ya ile Arabik.
Mwisho, napenda kumshukuru sana Sa100 kwa komenti yangu.