Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nishasema kule juu
Timu inaenda penati na golikipa pazia wa penati kama Allison,
Afu mpiga penati ni Nuniez Mzee wa kukosa
Inategemea nini hapo?

Mnacheza penati na golikipa asiyeweza kudaka penati hata Moja..
Timu pinzani, kipa anadaka goli 2.
Bomu zaidi, Mpigaji wenu ndio huyo Nunez
Mara mia apige hata vvd au beki yeyote ila siyo
Nunez.

Nunez siyo kosa lake
Kosa ni la mtu aliyempanga kupiga.
 
Majeruhi amepata peleyake, Timu nyingine hazina majeruhi?
 
Ninyi pimbi mnajihesabu possible champions ?
Tangu lini. ?
Damn ! ,The audacity ,yaani asenyeli hii hii au asenyeli ya mars ?
Hivi tuwe wakweli tuache unafiki hapo kwenye hiyo pool ya timu zilizobaki mnaweza kutunishiana misuli na nani ? , Kama si kubondwa kama ngoma ?
Barcelona au Bayern ,au atletico au Madrid au Inter ?
Msidhani mnacheza na Southampton au Everton , leo tu penyewe mnaweza fumuliwa vibaya na hao wahuni toka Uholanzi
 
Dalili zilishaanza kuonekana tangu j3 mazoezini Salah na Arnold walitaka kuzichapa...mpk nikajiuliza wanagombea nn Hawa jamaa kumbe walikuwa wanaona kinachowajia....wale PSG sio watu wazuri aisee
 
Wikiendi tuna mechi na nyny jirani....habari za PSV achana nazo wale tutawapelekea under 16 wacheze nao ndo level yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…