Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtakatifu Anne sio kawaida yako kabisa, yaani nimeshangaa mpaka dakika hii haujazungumzia chochote kuhusu Darwin Nunez.
" You will never walk alone, Nunes will escort you out of Champions League"

Jogoo alikula mchele mchana, kaliwa na wali usiku[emoji23][emoji23][emoji23]
Nishasema kule juu
Timu inaenda penati na golikipa pazia wa penati kama Allison,
Afu mpiga penati ni Nuniez Mzee wa kukosa
Inategemea nini hapo?

Mnacheza penati na golikipa asiyeweza kudaka penati hata Moja..
Timu pinzani, kipa anadaka goli 2.
Bomu zaidi, Mpigaji wenu ndio huyo Nunez
Mara mia apige hata vvd au beki yeyote ila siyo
Nunez.

Nunez siyo kosa lake
Kosa ni la mtu aliyempanga kupiga.
 
Honestly mwaka ambao sitamlaum arteta ni mwaka huu
Majeruhi yamemuangusha
Klop msimu aliopata majeruhi wengi hata top 4 hakufika
Msimu uliopita tulifunga magoli mengi sana mpaka tukaona hatuna haja ya striker
Ila dirisha lijalo akigoma kusajili proven striker sitakuwa upande wake milele
Majeruhi amepata peleyake, Timu nyingine hazina majeruhi?
 
Kwenye pot ya leo kuna possible champions watatu Inter, Bayern na Barcelona.

Pot ya J5 possible champions ni wawili, Arsenal na yeyote atakayepita kati ya Atletico na Madrid. Kisha baada ya mechi yao anabaki possible champion mmoja kwa pot ya J5.

We are fucked in terms of probability
Ninyi pimbi mnajihesabu possible champions ?
Tangu lini. ?
Damn ! ,The audacity ,yaani asenyeli hii hii au asenyeli ya mars ?
Hivi tuwe wakweli tuache unafiki hapo kwenye hiyo pool ya timu zilizobaki mnaweza kutunishiana misuli na nani ? , Kama si kubondwa kama ngoma ?
Barcelona au Bayern ,au atletico au Madrid au Inter ?
Msidhani mnacheza na Southampton au Everton , leo tu penyewe mnaweza fumuliwa vibaya na hao wahuni toka Uholanzi
 
Nishasema kule juu
Timu inaenda penati na golikipa pazia wa penati kama Allison,
Afu mpiga penati ni Nuniez Mzee wa kukosa
Inategemea nini hapo?

Mnacheza penati na golikipa asiyeweza kudaka penati hata Moja..
Timu pinzani, kipa anadaka goli 2.
Bomu zaidi, Mpigaji wenu ndio huyo Nunez
Mara mia apige hata vvd au beki yeyote ila siyo
Nunez.

Nunez siyo kosa lake
Kosa ni la mtu aliyempanga kupiga.
Dalili zilishaanza kuonekana tangu j3 mazoezini Salah na Arnold walitaka kuzichapa...mpk nikajiuliza wanagombea nn Hawa jamaa kumbe walikuwa wanaona kinachowajia....wale PSG sio watu wazuri aisee
 
Ninyi pimbi mnajihesabu possible champions ?
Tangu lini. ?
Damn ! ,The audacity ,yaani asenyeli hii hii au asenyeli ya mars ?
Hivi tuwe wakweli tuache unafiki hapo kwenye hiyo pool ya timu zilizobaki mnaweza kutunishiana misuli na nani ? , Kama si kubondwa kama ngoma ?
Barcelona au Bayern ,au atletico au Madrid au Inter ?
Msidhani mnacheza na Southampton au Everton , leo tu penyewe mnaweza fumuliwa vibaya na hao wahuni toka Uholanzi
Wikiendi tuna mechi na nyny jirani....habari za PSV achana nazo wale tutawapelekea under 16 wacheze nao ndo level yao
 
Back
Top Bottom