kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
ikabila ndio unawasumbua. weka mchaga sehemu uonePia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya watanzania wengine?
Hawa watu wanajiytambua na ndio maana " ni Spesho" huwezi sikia Profesa mchaga anasema kaokotwa jalalani, upumbav mtupu.
askofu shoo alimwambia Bashite aache kujifutua kama kifutu, where is Bashite? shooalikuwa anampinga dikteta wazi wazi wakati wengine wa mikoa mingine wakisema Mungu amemshusha Dikteta kututoa misri kwenda Israel Nchi ya ahadi.
Hapo kama siwewe basidadako anatamani kuolewa na mchaga mbaya kabisaWachaga watu wabaya Sana katika taifa hili
Wachaga wanasumbua vipi?ikabila ndio unawasumbua. weka mchaga sehemu uone
Jiwe kapambana na kilimanjaro, wakamwangalia tu, kaondoka yeye.Akili ndogo haiwez ongoza akili kubwa,that's why unaona hata mwendazake alishindwa,watu wenye akili KUBWA usiwapelekee akili ndogo,
Kilimanjaro unawapelekeaje sabaya au dar es salaam unawapelekeaje bashite, watashindwa tu
Sio kweli.........huna rikodiNimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.
Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?
Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana
Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.
Wasalaaam
Kusema kweli. Watu wa Arusha na Kilimanjaro wanapaswa kuwa waKenya. Huku Tanzania mnamuoneaNimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.
Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?
Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana
Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.
Wasalaaam
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.
Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?
Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana
Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.
Wasalaaam
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.
Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?
Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana
Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.
Wasalaaam
Umeni wahi.Si kweli, Mama Mghwira alikua na tatizo na nani? Meck Sadiki? Acheni unafiki
Uhuru wa namna yeyote ile ukiingiliwa huwa kuna migonganoKila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa
Elimu kwako toka enzi na enzi waliipata na wakaelimikaPia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine
Ni wapuuzi wachache tu wa CCMMtoa mada wewe ni kalumekenge... Sema tu una chuki na wachaga.
Ila logically najua wengi mna mtetea sabaya kwasababu tu amewatendea mabaya wachaga.. chuki tu hakuna lingine
Wana CCM ndo waanzilishi wa siasa za kikabila na chuki.. kama mtoa madaNi wapuuzi wachache tu wa CCM
Nimekuwa nikijuliza maswali mengi sana kuhusu mikoa hii miwili ya Arusha na Kilimanjaro hasa majimbo ya Hai na Arusha Mjini ni kama watu wa haya maeneo ni watu parfect sana.
Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine?
Viongozi wachache sana walio teuliwa kuongoza Mikoa hiyo miwili wakaondoka salama bila kashfa au kutuhumiwa sana
Kwenye hii Mikoa kama Kiongozi Mkuu asipo kuwa makini anaweza akawa anabadilisha Viongozi kila leo.
Wasalaaam