Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

Toa mifano kuhusu hai ukimuacha mhuni saa baya! Kaskazini walipata elimu mapema na wanajielewa hawaburuzwi kipumbafu ndomana kuna maendeleo pia watu wanakula maisha na kwenda kuijenga mikoa mingine MF dar,mwanza nk.
 
ikabila ndio unawasumbua. weka mchaga sehemu uone
 
Akili ndogo haiwez ongoza akili kubwa,that's why unaona hata mwendazake alishindwa,watu wenye akili KUBWA usiwapelekee akili ndogo,

Kilimanjaro unawapelekeaje sabaya au dar es salaam unawapelekeaje bashite, watashindwa tu
 
ikabila ndio unawasumbua. weka mchaga sehemu uone
Wachaga wanasumbua vipi?

1. Nyerere alikuwa mchaga....
2. Mwinyi Mchaga........
3. mkapa Mchaga.........
4. Kikwete Mchagaa.....
5 Magufuli mchaga
6. Samia Mchaga.........

1. Nyerere... mchaga
2Sokoine.... mchagga
3. Cleopa Msuya.......mchagaa
4. Warioba... mchaga
5. Lowassa......mchagga
6.Pinda.......mchagga
7. Majaliwa ....mchagga.

roho yako imesuhuzika.
 
Sio kweli.........huna rikodi
 
mm nafikili sehem zenye baridi uwezo wa akili unakua juu kuliko sehem zenye joto.
ukianangalia kwa makini utaona watu wanaioshi maeneo kama arusha,kilimanjaro,mbeya,iringa .
akili zao tofauti kabisa na msitari wenye joto hasa wa katikati ya tanzania.

hivyo mreta mada sehemu ambapo watu wana uwezo mkubwa wa akili huwezi kuwazuia kuhoji pale penye shida na kuhoji sio kubaya. mala nyingi mtu anaehoji anatamani kujua zaidi na kama hujamuelewesha basi ujue huna uwezo wa kumuongoza mtu huyo,na ndiomaana tunaona viongoz wenye akili ndogo wanatumia ubabe badala ya kujibu hoja .
 
Kusema kweli. Watu wa Arusha na Kilimanjaro wanapaswa kuwa waKenya. Huku Tanzania mnamuonea
 

Ndo maana huishi Arusha, huo ujinga wa kila kitu ndiyo mnafanya nyie
 

Acha kuzunguka sana, mnaleta viongozi waouvu kisha watu wakiwaanika mnajifanya viongozi hawatakiwi. Usipoteze muda wa kupost utoto humu jukwaani, nenda mahakamani ukamtetee Sabaya ili kuwaanika watu wa Arusha na Kilimanjaro, ili chuki yao dhidi ya hao viongozi ionekane.
 
Kila kiongozi anaye kuwa pale hasa kama hatokei kwenye milengo yao wanayo ipenda au kuiamini basi huyo ni kiongozi asiyefaa
Uhuru wa namna yeyote ile ukiingiliwa huwa kuna migongano
Pia nimekuwa nikijiuliza sana hawa watu kwanini wao wana amini wao ni special sana kuliko Watanzania wengine na wao wanapaswa kuwa kipaumbele na waangaliwe na wasikilizwe kwanza kabla ya Watanzania wengine
Elimu kwako toka enzi na enzi waliipata na wakaelimika
 
Sijasikia Anna Mghwira ambaye alikuwa ni RC akituhumiwa kufanya uhalifu na utesaji kwa raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…