Arusha: Ole Sabaya na wenzake wamefikishwa Mahakamani, kesi yaahirishwa
Mbona wanamuwahisha mapema Sana mahakamani kwann asikae kama miaka 6 hivi kama wazee wa escrow au uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika ndipo aanze pelekwa mahakamani.Hii sio dabo standard kweli
[emoji23][emoji1787]
 
Kesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .

Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
Hakika Dunia ni ya Mungu tu,huyu mbwa na wapumbavu wenzake walidhani magereza ni sehemu ya kina Lema na wafuasi wa CHADEMA tu,ni kama Magufuli tu, alidhani kifo kinawastahili kina Ben Saanane na kina Azori Gwanda,angejua kuwa 2025 hafiki asingekuwa katili kwa wenzake shenz taipu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kusema mtetezi wa majambazi ndio,unaona baseman nisiyoyajua,waweza kuwa no mmoja wa mabounser wa kijana pendwa.
Ujambazi wake unatofauti gani na ule wa kina Singa singa waliotolewa juzi?
 
Back
Top Bottom