Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Haufanani na unyama dhidi ya utu na ubinadamu.Kukuibia mabilioni siyo unyama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haufanani na unyama dhidi ya utu na ubinadamu.Kukuibia mabilioni siyo unyama?
Ubinadamu kwako wewe ni upi?Haufanani na unyama dhidi ya utu na ubinadamu.
Yoote yale yanayoendana na kuthamini uhai.Ubinadamu kwako wewe ni upi?
Sabaya katoa uhai wa nani?Yoote yale yanayoendana na kuthamini uhai.
Una muuliza naniSabaya katoa uhai wa nani?
Kwani hapa najadiliana na nani?Una muuliza nani
Kwa hiyo unanilisha maneno amaKwani hapa najadiliana na nani?
[emoji23][emoji1787]Mbona wanamuwahisha mapema Sana mahakamani kwann asikae kama miaka 6 hivi kama wazee wa escrow au uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika ndipo aanze pelekwa mahakamani.Hii sio dabo standard kweli
Kwani una nilisha maneno ama.Kwani hapa najadiliana na nani?
Hakika Dunia ni ya Mungu tu,huyu mbwa na wapumbavu wenzake walidhani magereza ni sehemu ya kina Lema na wafuasi wa CHADEMA tu,ni kama Magufuli tu, alidhani kifo kinawastahili kina Ben Saanane na kina Azori Gwanda,angejua kuwa 2025 hafiki asingekuwa katili kwa wenzake shenz taipu.Kesi inayomkabili Ole Sabaya na walinzi wake imetajwa tena kwenye Mahakama ya Arusha na kuahirishwa hadi July 2 , kwa kile ambacho mwendesha mashitaka amedai upelelezi wake bado haujakamilika .
Sabaya ambaye Suti aliyoivaa leo inaonekana kumpwaya , amerejeshwa rumande ya Kisongo akisubiri kesi itakapotajwa tena .
Kwahiyo kumbe unajisemea tu vitu bila uhakika?Kwani una nilisha maneno ama.
Kusema mtetezi wa majambazi ndio,unaona baseman nisiyoyajua,waweza kuwa no mmoja wa mabounser wa kijana pendwa.Kwahiyo kumbe unajisemea tu vitu bila uhakika?
Ujambazi wake unatofauti gani na ule wa kina Singa singa waliotolewa juzi?Kusema mtetezi wa majambazi ndio,unaona baseman nisiyoyajua,waweza kuwa no mmoja wa mabounser wa kijana pendwa.
Majibu unayoUjambazi wake unatofauti gani na ule wa kina Singa singa waliotolewa juzi?
Huna cha kuandika , usijikweze bure😅😅Nimeandika nikafuta, nikagundua kuwa hustahili kujibiwa chochote na mimi
Kashindwa kujibu 😂😂😂😂mataga pori hapa tayari umeshapanic 🤣 🤣 🤣
Kwani weye Kena ama kenaniHuna cha kuandika , usijikweze bure😅😅
Mbohe kimbowemboweKwani weye Kena ama kenani
Sina sababu ya kujikweza, nimesema ukweli maana kama mtu anabisha vitu ambavyo viko wazi, sasaa utafanyeje? ShukraniHuna cha kuandika , usijikweze bure😅😅
Hakuna anaebisha hapo " ukweli upo wazi" huna cha kujibu, kila la heri.Sina sababu ya kujikweza, nimesema ukweli maana kama mtu anabisha vitu ambavyo viko wazi, sasaa utafanyeje? Shukrani