Sasa nione mimi na sio yeye. Mshirikina ndio zake hizo. Mchawi amegwaya. Mshirikina sampuli yako alienda kwa mchawi kumuua jirani yake. Akaambiwa arudi baada ya siku tatu na kuku mweusi. Akihakikishiwa kufanikiwa. Siku ya tatu kurudi kakuta turubai kwa yule mchawi. Alidhani kafiwa kumbe kafa mwenyewe. Karudi nyumbani na kuku wake mweusi. Njiani kakutana na jirani yake. Jirani kamsalimia na kumpa pole. Kakimbia asijue pole ilikuwa ya nini!Si ajaribu sasa uone
Mkuu umezama deep sana kumuelekeza mtu hajui lolote kilaza huyo kishabugia makande ya choroko usukumani ndio msos wao sa hvEwe Kilaza lini utaacha upumbavu? Uzuri wa sheria ni kuwa kila sheria inafahamika kwa namba yake katika mwaka ilipotungwa. Unazungumzia sheria zipi? Kudai katiba mpya ya watu au kudai tume huru ya uchaguzi ni kutokufuata sheria?
Kilaza sikia na kuelewa upambe ni jambo la hovyo kabisa. Wapambe nuksi. Hawajui wafanyalo. Wenye mali wanajua kabisa sheria zitamtoa. Hawampeleki mahakamani. Watashindwa. Hilo wanalijua sana. Shida i kwako tu we kilaza. Ukiona wamempeleka. Abortion hiyo. Upelelezi hautakamilika milele yote. Au sana sana mtaalamu wa plea bargain ataingiza nolle prosequi!
Hudhani kama mada inanihusu, unadhani inamhusu nani?!.................Na hii mada sidhani kama inakuhusu.Wewe umedandia tu.Muhuni mkubwa.
Ngwajima mbona hamjasema achunge kondoo tu?Uyu Askofu wa siasa si Askofu wa kanisa.
Nzuri sana hiyo tunaelekea pazuri snYule askofu wa katoliki Kayanga kazuiliwa nyumbani
Huyu mzee inatakiwa apatikane mchawi mmoja amshughuliie haswa siku moja akutwe amevua nguo hata UbungoCheo ni dhamana ya Muda mfupi sana ! Kova sasa amebaki kuamua rufaa za ulevi za akina Kapombe , hili Mambosasa anapaswa kujifunza
Ni babu snkihalali Mambosasa ana zaidi ya miaka 60
Tatizo unaleta hadithi.Sasa nione mimi na sio yeye. Mshirikina ndio zake hizo. Mchawi amegwaya. Mshirikina sampuli yako alienda kwa mchawi kumuua jirani yake. Akaambiwa arudi baada ya siku tatu na kuku mweusi. Akihakikishiwa kufanikiwa. Siku ya tatu kurudi kakuta turubai kwa yule mchawi. Alidhani kafiwa kumbe kafa mwenyewe. Karudi nyumbani na kuku wake mweusi. Njiani kakutana na jirani yake. Jirani kamsalimia na kumpa pole. Kakimbia asijue pole ilikuwa ya nini!
Tofauti ipo kubwa sn mkuu lina kasifa kubwa za kigono(kulawiti)Huyu naye ni askofu?? Hii ndio tofauti ya kanisa katoliki na madhehebu mengine.
Njoo umsaidie sasa kama alivyokusaidia wakati wa uchaguziView attachment 1703425
Askofu Emmaus Mwamakula, mshauri wangu wakati wa Uchaguzi Mkuu 2020, amekamatwa na polisi wa Dar. Askofu alipanga kutembea nchi nzima kudai Tume Huru ya Uchaguzi. Badala ya kupambana na COVID-19 inayotishia maisha ya wananchi, Dikteta Uchwara anapambana na wapinzani wa kisiasa. https://t.co/yhkHk6ZR3d
Kabla ujauliza injili kaeneza Kwa nani? Jiulize kafanya kazi ya huduma ya Mungu Kwa miaka mingapi? Swali hili anayeweza kujibu ni baba yako maana unaonekana bado unanuka maziwa ya mama.Askofu fake tu! Ameshindwa kukusanya kondoo wa imani anahangaikia katiba. Injili ameeneza kwa nani? Kama ni njia ya kupata waumini ndo matokeo yake hayo. Sero ya polisi amuulize Gwajima na presha iliyompata.
Kumbe kashfa tu tena kwa wenye chuki nalo.Ila huwezi kuta askofu wa kanisa katoliki akafanya au kuongea mambo ya hovyo au kujibizana na kupelekana polisiTofauti ipo kubwa sn mkuu lina kasifa kubwa za kigono(kulawiti)
Yohana Mbatizaji, Alikatwa kichwa kwa kumtuhumu Mfalme Kumchukua mke wa ndugu Yake, na Yesu Akanyamaza kimya.
Unajua kwa nini Yesu Alinyamaza kimya? Tafakari utapata Majibu.
Nikwa sababu Yohana Hakutumia hekima kumweleza Mfalme juu ya Kosa la kumchukua mke wa Ndugu Yake.
Hivyo watumishi wa Mungu, wajue Hekima ni njema ikitumika kufikisha ujumbe kwa Viongozi.
Hakuna kiongozi hasiye shaurika au kuchukua Mawazo ya watu lakini inategemea na jinsiunavyotumia Hekima kuwasilisha hoja yako ndicho kilicho mponza Yohana Mbatizaji
Niambie Hekima ya YESU kumuita mfalme. Nendeni mkamwambie yule mbweha?Yohana Mbatizaji, Alikatwa kichwa kwa kumtuhumu Mfalme Kumchukua mke wa ndugu Yake, na Yesu Akanyamaza kimya.
Unajua kwa nini Yesu Alinyamaza kimya? Tafakari utapata Majibu.
Nikwa sababu Yohana Hakutumia hekima kumweleza Mfalme juu ya Kosa la kumchukua mke wa Ndugu Yake.
Hivyo watumishi wa Mungu, wajue Hekima ni njema ikitumika kufikisha ujumbe kwa Viongozi.
Hakuna kiongozi hasiye shaurika au kuchukua Mawazo ya watu lakini inategemea na jinsi unavyotumia Hekima kuwasilisha hoja yako ndicho kilicho mponza Yohana Mbatizaji.
Huyu naye ni wa kanisa gani ?Huyu naye ni askofu?? Hii ndio tofauti ya kanisa katoliki na madhehebu mengine.
Gwajima Anachunga zile mbwa mwitu za bungeni siku hizi
Wewe ni mwongo sana,ni muongo na mtu mlaghai sana.Acha hiyo tabia,inaharibu familia,jamii inayo kuzunguka na taifa kwa ujumla.Pumbafff wewe,hivi ni'nani alikitaka kichwa cha Yohanne m'batizaji?Yohana Mbatizaji, Alikatwa kichwa kwa kumtuhumu Mfalme Kumchukua mke wa ndugu Yake, na Yesu Akanyamaza kimya.
Unajua kwa nini Yesu Alinyamaza kimya? Tafakari utapata Majibu.
Nikwa sababu Yohana Hakutumia hekima kumweleza Mfalme juu ya Kosa la kumchukua mke wa Ndugu Yake.
Hivyo watumishi wa Mungu, wajue Hekima ni njema ikitumika kufikisha ujumbe kwa Viongozi.
Hakuna kiongozi hasiye shaurika au kuchukua Mawazo ya watu lakini inategemea na jinsi unavyotumia Hekima kuwasilisha hoja yako ndicho kilicho mponza Yohana Mbatizaji.