Askofu Emaus Mwamakula akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha Maandamano ya kudai Katiba Mpya

Askofu Emaus Mwamakula akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha Maandamano ya kudai Katiba Mpya

Si ajaribu sasa uone
Sasa nione mimi na sio yeye. Mshirikina ndio zake hizo. Mchawi amegwaya. Mshirikina sampuli yako alienda kwa mchawi kumuua jirani yake. Akaambiwa arudi baada ya siku tatu na kuku mweusi. Akihakikishiwa kufanikiwa. Siku ya tatu kurudi kakuta turubai kwa yule mchawi. Alidhani kafiwa kumbe kafa mwenyewe. Karudi nyumbani na kuku wake mweusi. Njiani kakutana na jirani yake. Jirani kamsalimia na kumpa pole. Kakimbia asijue pole ilikuwa ya nini!
 
Ewe Kilaza lini utaacha upumbavu? Uzuri wa sheria ni kuwa kila sheria inafahamika kwa namba yake katika mwaka ilipotungwa. Unazungumzia sheria zipi? Kudai katiba mpya ya watu au kudai tume huru ya uchaguzi ni kutokufuata sheria?

Kilaza sikia na kuelewa upambe ni jambo la hovyo kabisa. Wapambe nuksi. Hawajui wafanyalo. Wenye mali wanajua kabisa sheria zitamtoa. Hawampeleki mahakamani. Watashindwa. Hilo wanalijua sana. Shida i kwako tu we kilaza. Ukiona wamempeleka. Abortion hiyo. Upelelezi hautakamilika milele yote. Au sana sana mtaalamu wa plea bargain ataingiza nolle prosequi!
Mkuu umezama deep sana kumuelekeza mtu hajui lolote kilaza huyo kishabugia makande ya choroko usukumani ndio msos wao sa hv
 
.................Na hii mada sidhani kama inakuhusu.Wewe umedandia tu.Muhuni mkubwa.
Hudhani kama mada inanihusu, unadhani inamhusu nani?!

Jipe muda kusoma na kuzielewa kanuni za JF.
 
Ameanza tena mambo yake ya kishamba si bure ana mdudu kichwani au masharti ya mizimu
 
Sasa nione mimi na sio yeye. Mshirikina ndio zake hizo. Mchawi amegwaya. Mshirikina sampuli yako alienda kwa mchawi kumuua jirani yake. Akaambiwa arudi baada ya siku tatu na kuku mweusi. Akihakikishiwa kufanikiwa. Siku ya tatu kurudi kakuta turubai kwa yule mchawi. Alidhani kafiwa kumbe kafa mwenyewe. Karudi nyumbani na kuku wake mweusi. Njiani kakutana na jirani yake. Jirani kamsalimia na kumpa pole. Kakimbia asijue pole ilikuwa ya nini!
Tatizo unaleta hadithi.
 
View attachment 1703425
Askofu Emmaus Mwamakula, mshauri wangu wakati wa Uchaguzi Mkuu 2020, amekamatwa na polisi wa Dar. Askofu alipanga kutembea nchi nzima kudai Tume Huru ya Uchaguzi. Badala ya kupambana na COVID-19 inayotishia maisha ya wananchi, Dikteta Uchwara anapambana na wapinzani wa kisiasa. https://t.co/yhkHk6ZR3d
Njoo umsaidie sasa kama alivyokusaidia wakati wa uchaguzi
Katiba sio ya wapinzani ni ya wananchi
 
Askofu fake tu! Ameshindwa kukusanya kondoo wa imani anahangaikia katiba. Injili ameeneza kwa nani? Kama ni njia ya kupata waumini ndo matokeo yake hayo. Sero ya polisi amuulize Gwajima na presha iliyompata.
Kabla ujauliza injili kaeneza Kwa nani? Jiulize kafanya kazi ya huduma ya Mungu Kwa miaka mingapi? Swali hili anayeweza kujibu ni baba yako maana unaonekana bado unanuka maziwa ya mama.
 
Tofauti ipo kubwa sn mkuu lina kasifa kubwa za kigono(kulawiti)
Kumbe kashfa tu tena kwa wenye chuki nalo.Ila huwezi kuta askofu wa kanisa katoliki akafanya au kuongea mambo ya hovyo au kujibizana na kupelekana polisi
 
Yohana Mbatizaji, Alikatwa kichwa kwa kumtuhumu Mfalme Kumchukua mke wa ndugu Yake, na Yesu Akanyamaza kimya.

Unajua kwa nini Yesu Alinyamaza kimya? Tafakari utapata Majibu.

Nikwa sababu Yohana Hakutumia hekima kumweleza Mfalme juu ya Kosa la kumchukua mke wa Ndugu Yake.

Hivyo watumishi wa Mungu, wajue Hekima ni njema ikitumika kufikisha ujumbe kwa Viongozi.

Hakuna kiongozi hasiye shaurika au kuchukua Mawazo ya watu lakini inategemea na jinsiunavyotumia Hekima kuwasilisha hoja yako ndicho kilicho mponza Yohana Mbatizaji

Yohana Mbatizaji, Alikatwa kichwa kwa kumtuhumu Mfalme Kumchukua mke wa ndugu Yake, na Yesu Akanyamaza kimya.

Unajua kwa nini Yesu Alinyamaza kimya? Tafakari utapata Majibu.

Nikwa sababu Yohana Hakutumia hekima kumweleza Mfalme juu ya Kosa la kumchukua mke wa Ndugu Yake.

Hivyo watumishi wa Mungu, wajue Hekima ni njema ikitumika kufikisha ujumbe kwa Viongozi.

Hakuna kiongozi hasiye shaurika au kuchukua Mawazo ya watu lakini inategemea na jinsi unavyotumia Hekima kuwasilisha hoja yako ndicho kilicho mponza Yohana Mbatizaji.
Niambie Hekima ya YESU kumuita mfalme. Nendeni mkamwambie yule mbweha?
 
Huyu naye ni askofu?? Hii ndio tofauti ya kanisa katoliki na madhehebu mengine.
Huyu naye ni wa kanisa gani ?

FB_IMG_1613419788423.jpg


Shetani hana rafiki , zamu yako ikifika ndio utaelewa
 
Yohana Mbatizaji, Alikatwa kichwa kwa kumtuhumu Mfalme Kumchukua mke wa ndugu Yake, na Yesu Akanyamaza kimya.

Unajua kwa nini Yesu Alinyamaza kimya? Tafakari utapata Majibu.

Nikwa sababu Yohana Hakutumia hekima kumweleza Mfalme juu ya Kosa la kumchukua mke wa Ndugu Yake.

Hivyo watumishi wa Mungu, wajue Hekima ni njema ikitumika kufikisha ujumbe kwa Viongozi.

Hakuna kiongozi hasiye shaurika au kuchukua Mawazo ya watu lakini inategemea na jinsi unavyotumia Hekima kuwasilisha hoja yako ndicho kilicho mponza Yohana Mbatizaji.
Wewe ni mwongo sana,ni muongo na mtu mlaghai sana.Acha hiyo tabia,inaharibu familia,jamii inayo kuzunguka na taifa kwa ujumla.Pumbafff wewe,hivi ni'nani alikitaka kichwa cha Yohanne m'batizaji?
 
Back
Top Bottom