Yohana Mbatizaji, Alikatwa kichwa kwa kumtuhumu Mfalme Kumchukua mke wa ndugu Yake, na Yesu Akanyamaza kimya.
Unajua kwa nini Yesu Alinyamaza kimya? Tafakari utapata Majibu.
Nikwa sababu Yohana Hakutumia hekima kumweleza Mfalme juu ya Kosa la kumchukua mke wa Ndugu Yake.
Hivyo watumishi wa Mungu, wajue Hekima ni njema ikitumika kufikisha ujumbe kwa Viongozi.
Hakuna kiongozi hasiye shaurika au kuchukua Mawazo ya watu lakini inategemea na jinsi unavyotumia Hekima kuwasilisha hoja yako ndicho kilicho mponza Yohana Mbatizaji.