BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Atafanya miujiza atapotelea mikononi mwa polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He needs your support at this demanding moment.umeandika kwa kiwango cha chini sana !
tayari nishaingia ulingoni kitambo sana , hatuhangaiki na Mambosasa , tuko kwa mabosi wakeHe needs your support at this demanding moment.
Sasa kamanda, we si ni njemba, unataka upendwe wewe?kumpenda demu wa aina ya Jane Lowassa ambaye kila mwenye bia nyingi mezani anamshokea ni hasara kubwa kwako
Nenda kamuulize mlikompeleka,Wakati anaandika hiyo meseji alishakamatwa au alikuwa wapi
Waumini wa kanisa lake hawafìki 50, uaskofu gani kama si fraud!Eti "Anayejiita Askofu" , Mambosasa kiburi cha uzima na madaraka kitakupeleka pabaya sana
Nakuaminia Sophie.tayari nishaingia ulingoni kitambo sana , hatuhangaiki na Mambosasa , tuko kwa mabosi wake
Mpaka muda huu maandamano ya Askofu Mwamakula yamefanikiwaMwanakondoo wa Mungu ameshinda!Tumfuate
Sio kweli.Lutheri.
View attachment 1703071
View attachment 1703070
====
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUKAMATWA KWA ASKOFU EMMAUS BANDEKILE MWAMAKULA
KWA KOSA LA KUHAMASISHA MAANDAMANO HARAMU
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam leo tarehe 15.02.2021 limefanikiwa kumkamata anayejiita Askofu EMMAUS BANDEKILE MWAMAKULA wa kanisa la Uamsho la Moravian kwa kosa la kuhamasisha maandamano nchi nzima kwa njia ya ujumbe wa maneno katika mitandao ya kijamii. Taarifa ilikuwa ikihamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi ili kuandamana wakishinikiza na kudai katiba mpya jambo ambalo ni kinyume na taratibu na sheria za nchi.
Aidha awali Jeshi la Polisi kupitia idara ya upelelezi kanda Maalum Dar es salaam walifanikiwa kupata taarifa hiyo na kumkamata Askofu huyo kwa ajili mahojiano kwa jambo hilo ambalo lilileta taharuki kwa umma katika mitandao ya kijamii.
Jeshi la Polisi linatoa onyo kwa yeyote ambaye ameshawishika na kupanga kuandamana kuahirisha mara moja nia hiyo ovu ambayo iko kinyume na sheria.
Pia ifahamike ni kosa kufanya maandamano bila kuwa na kibali cha Polisi ili kupewa ulinzi, na atakayejaribu kuandamana atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Hivyo wananchi wote wa jiji la Dar es salaam waendelee na shughuli zao za kukuza uchumi na kujipatia vipato vyao vya kila siku.
LAZARO B. MAMBOSASA– SACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.
15.02.2021
Sure, huyu aliasi kanisa la Moravian akaanzisha kikanisa chake cha kifamilia.Sio kweli.
Askofu wa Lutheran kwa dsm ni Malasusa
Hivi mtu mwenye zaidi ya miaka 60 anawezaje kuwa IGPTatizo anauota UIGP hahaaa! Aache mihemuko kwani MTU akisema watu waandamane kakosea nn?
Watu wenye mawazo kama yako ndo wamefanya watanzania kuchezewa kama watoto wadogo nasi kukubali kufyata mkia! Kazi ya mchungaji ni pamoja na kulinda usalama wa kondoo wake! Watanzania wameuawa, wamepigwa, wamebambikiwa kesi za uongo, nasi tuko kimya tunaendelea kutoa macho tu na kuandika kama uliyoandika hapa!Huyu Askofu ndiyo ali organize matembezi ya hiyari kudai Katiba mpya?
Nadhani angejikita kwenye kuchunga kondoo wa bwana tu, utawala uliopo huwa haupendi kufosiwa kufanya mambo. Mambo yanafanyika pale mwenye nyumba atakapoamua.
Hata kama aliwahaidi Katiba mpya -mpaka apende mwenyewe
Milioni 50 kila Kijiji - mpaka apende
Nyongeza ya mishahara - mpaka apende
You mention...
Dah mkuu hakuzoeleki kuleKwa sheikh watachemka maana yule selo Kwake ni kama nyumbani. Pole baba askofu piga mistari ya ufunuo aote busha yule jamaa wa chato.
Kweli mkuuWatu wenye mawazo kama yako ndo wamefanya watanzania kuchezewa kama watoto wadogo nasi kukubali kufyata mkia! Kazi ya mchungaji ni pamoja na kulinda usalama wa kondoo wake! Watanzania wameuawa, wamepigwa, wamebambikiwa kesi za uongo, nasi tuko kimya tunaendelea kutoa macho tu na kuandika kama uliyoandika hapa!