Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Yule hana sala inayosikilizwa, kama walikuwa na T Lisu na wakaangukia pua sasa dua zake unaziamini?Kwa sheikh watachemka maana yule selo Kwake ni kama nyumbani. Pole baba askofu piga mistari ya ufunuo aote busha yule jamaa wa chato.