Askofu Emaus Mwamakula akamatwa na Polisi kwa kuhamasisha Maandamano ya kudai Katiba Mpya

Katika historia, Hakuna dikteta aliyefanikiwa kunyamazisha watu wote.
Na kwa viongozi wa dini ndio haiwezekani kabisaaaa.
 
Ushauri rahisi tu. Tuma e mail kwa support@jamiiforums.com, wape jina lako halisi, waambie litumike kama verified user, utalamba uteuzi fastaa
 
Lisu ni heri angeongea hayo akiwa bongo aone fire⚰️
 
Well said, ngoja shida zitutafune mpaka tupate akili
 
Mambosasa anatafuta kuwa IGP japo ana changamoto ya umri
 
Sheria ipi imevunjwa kutoka kipengele kipi cha katiba ewe Mataga elimisha jamii usitutishe!
 
Hivi kudai katiba mpya ni kosa?
Kuidai tunamkosea nani?
Si kwa ajili ya ustawi wa tz yote?
Unajua inatufanya tuamini kuwa wanaotutawala sio binadamu kabisa!
 
Hii move ilikuwa expected. Polisi wetu wapo predictable na Mwamakula nadhani alikuwa akilitegemea hili
 
Well said, ngoja shida zitutafune mpaka tupate akili
Kabisa Mkuu

Binafsi naona kuna kaupendeleo huwa kana fanyika kuhusu maandamano, wakati wa JK watu walikuwa wanaandamana kila uchao.

Utawala huu, naona wamepumzika licha ya kero na malalamiko kuwa mengi.

Ingekuwa enzi za JK kuhusu kufanya kazi mazingira ya hatarishi kwa madaktari wakati huu wa Covid -19 wangeandamana kushinikiza nyongeza ya mshahara, lakini awamu hii hadi On call allowance haipo πŸ˜…πŸ˜…

Kusini watu waliambiwa watapigiwa mashangazi wakaufyata πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™Œ
 
Kila awamu ina kauli mbiu yake

Awamu ya hapa kazi tu kuchanganya na maandamano ni maajabu
 
Mheshimiwa siasa za hapa Tz zimekushinda, we kula bata huko uliko, acha kudanganya wazalendo, ile biashara ya kutufanya nyumbu tumeishitukia
 
Haka kajamaa bana, kanajaribu kujitutumua ili kaonekane bado kamo wakati kaliufyata kakasepa kwenda kula bata na shoga yake bob huko ubeberuni!
Kasivyo na hekima sasa kamemwanika askofu kuwa ni mpinzani wa kisiasa!
Kiazi kichafu wewe hivyo.
 
Kwa mitano hii katiba ni ngumu kwa mwenye Tanzania yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…