The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Weka clip ya Mdee anaongea Kidhungu tumlinganishe na Rashid GwajimaEnglish yake yakuungaunga tuu ...nashangaa eti naye ni Phd holder elimu ya TZ kuna loss kubwa kuliko na loss ya uchumi nchini....
mifano Prof Lipumba,Prof Kabudi,Dr Harrison,Prof Tibajuka,Dr Magu..niwasa wakina prof Majimarefu
Try to be resourceful...man upWeka clip ya Mdee anaongea Kidhungu tumlinganishe na Rashid Gwajima
Shida ni kuwa mazwazwa ndo wengiHuyu takataka atachaguliwa na mazwazwa ti.
Kuna majimbo ambayo wabunge wake walikuwa kupitia vyama vya upinzani na tumeona wakishirikiana vyema na serikali katika kupanga na kutekeleza mipango na miradi ya wananchi jimboni.
Lakini kwa upande wa Halima imekuwa tofauti.
Imekuwa ni ngumu kukaa pamoja na serikali kupanga na kutekeleza mipango na miradi jimboni.
Sasa mtu wa hivyo atawafaa wananchi kwa vipi?!
Hapana aisee!
Gwajima anatosha.
Ni bahati mbaya sana kukazana kumchafua Gwajima hakumfanyi Halima kufaa kwa wananchi.
Hatuwezi kufanya makosa yatakayotugharimu miaka 5 kwa kumchagua mtu ambaye tulishamchagua kwa miaka 10 na hatukuona jipya.
Gwajima hazuiliki.
BoombclaaatHuko mitaani kwa wapigakura hali ya Halima ni ya kukatisha tama kabisa!
Wananchi wamemchoka kabisa kiasi kwamba hawataki hata kwenda kumsikiliza kwenye mikutano yake ya Campaign!
Halima amefulia kisera kabisa!
Boombclaaat
Usichukulie powa mtu anajiita askofu leo aje akuambie anaitwa chid?Halima Mdee pia anaitwa Elizabeth
Mkuu mbona unaniangasha tena? Ile video ni yake bila wasiwasi wowote. Na mbaya zaidi alikuwa anajirekodi yeye mwenyewe. Huyu mbona ni tapeli mzoefu sana? Hamjamgundua tu?Ha ha ha hao waumini wake wanakazi kweli kweli. Mtu muongo muongo hivyoo. Nakuwa na wasi wasi ata ile video inaweza kuwa yake.
We ni muongo sana ndio maana unadaiwa ada!Wapigakura wengi ambao walikuwa wakimuunga mkono Halima Safari hii wamemchoka wengi watampigia kura Gwajima!
We ni muongo sana ndio maana unadaiwa ada!