Huyajui au mahaba yanakupofusha!? Yaani muamin msiamini ,mtake msitake magufuli alisha kufa na ameacha mazuri yake na pia ameacha mabaya yake sasa askofu asitake kulazimisha watu kuyaongea mazuri tuu , wakati walio tendewa mabaya nao wapo na ndio mashuhudaYapi?
Ukabila ndio kichaka mlicho bakiza wale watu walioshangilia jina la Magufuli rufiji ni wasukuma!?Askofu mkabila na mdini , hakuyaona aliyo kuwa akiyafanya huyo muhuni anayemtetea hapo? Askofu mzima anatumia neno wanyonge kama silaha anasahau hata biblia imekataa unyonge! Akanye mbele askofu uchwara huyo.
Kwani sasa hawajeruhiwi na kupotea mbona nyie mko kimyaWakati watu walikuwa wakijeruhiwa na kupoteza maisha Askofu alikuwa kimya!
Nina neno kwake Askofu,mwanasheria wangu hapatikani hewani
Ninafikiri wewe ndiyo mdini na mkabila. Unaangalia dini na kabila kwenye kila kitu.Askofu mkabila na mdini , hakuyaona aliyo kuwa akiyafanya huyo muhuni anayemtetea hapo? Askofu mzima anatumia neno wanyonge kama silaha anasahau hata biblia imekataa unyonge! Akanye mbele askofu uchwara huyo.
Askofu atuambie alipo ben saanane aliyejaribu kuchunguza uhalali wa Phd ya ya yule mwehu na wengine wengi ambao maiti zao zilizokutwa kwenye virobaASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa w
Na orodha ni ndefu kweli ya wanaomtukana Hayati Magufuli ila Baba Askofu Mungu akubariki sana kwa kujitokeza hadharani kusema hayo 'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa'"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande
Muulize askofuKwani sasa hawajeruhiwi na kupotea mbona nyie mko kimya
Nilijua kabisa sang'udi utajibu nasubiri wasukuma wengineNinafikiri wewe ndiyo mdini na mkabila. Unaangalia dini na kabila kwenye kila kitu.
Huyo askofu akajambe mbele hana jipya kabisaa ni udini na ukabila tu vinamsumbua.Na orodha ni ndefu kweli ya wanaomtukana Hayati Magufuli ila Baba Askofu Mungu akubariki sana kwa kujitokeza hadharani kusema hayo 'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa'
Askofu ndio kasemaMuulize askofu