Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
watu wangekuwa wanafufuka,Nape ingekula kwake anatoa taarabu sana siku hizi wakati alishiriki meza kuu wakati uleSio Baba askofu peke yake aliyetabiri kifo cha JPM hata Rema, Nape, nk kifo kilikuwa wazi kabisa kuwa lazima afe!
Maneno mazito sana. Hayana Afya kwa Taifa.NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned..
====
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Alikuwa anataka aombewe ili aendelee kuua watu wengi zaidiMniombee
Basi nadhani na Nabii Mwingira ana kitu hatukijui juu yake. Maana hata JK hawakuwa wanaelewana. Alipokuja Dkt Magufuli kipindi cha kampeni alimdhihaki sana hicho kipindi na aliwatabiria waumini wake kusema Dkt Magufuli hatoshinda uchaguzi ila Dkt Magufuli akashinda. Nadhani Nabii atakuwa na kitu na serikali ambacho si chema anakijua ila wananchi hatujui. Pia serikali imuue kwa lipi??? Nadhani Nabii atakuwa na ugomvi wa makanisa yao yaani wao kwa wao ma nabii na maaskofu wanatafutana ili kuzimana kasi ya waumini. Dkt Magufuli hakuwa mtu wa tabia ya kuua watu.NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned..
====
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Lissu alikoswa! Una jingine?Hasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk
Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi
Na kama kila anayelalamika ni hasira juu ya jambo fulani, basi utawala ulijaa tabia ya kutengeneza hasira kwa wananchi wake.. Haiwezekani kila anayelalamika aonekane ana hasira ya kitu fulaniHao wote waliolalamika awali na hata sasa bado hauwaamini tu?Watunge woootee uongo kuhusu utawala mmoja uliopita kwa faida gani?
Akamzalisha na kumzalisha mke wa mtu. Alijiona Mungu sana yule boyaMagufuli alikula mke wa balozi wetu akampa na wizara mpya, msitake kutukumbusha machungu
Utetezi huo ulimtetea haikuwa hoja ya kuwaonea wengine.Kwamba huyu anapigwa bila sababu kwa sababu kuna sehemu watu ni wahalifu?Hakukuwa na haki wala ukweli.Kipindi Magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa ikikabiliwa na baadhi ya changamoto kama zifuatazo:
1. Ufisadi na Rushwa serikalini mpaka ndani ya chama cha CCM
2. Wizi na ujambazi majumbani, biasharani mpaka kwenye mabenki
3. Mauaji ya albino
4. Madawa ya kulevya
5. Ugaidi wa kibiti na kule amboni
6. Uporaji silaha vituo vya polisi
7. Ukwepaji kodi na utakatishaji fedha
8. Vyeti feki na watumishi hewa
9. Na mengineyo mengi
Miaka MINNE baada ya Magu kuingia madarakani, asilimia 90% ya hizo changamoto zilikuwa ni historia,,, hatukuzisikia tena zikijitokeza, Serikali ya awamu ya TANO ilizitokomezea mbali
Sasa huyu Mwingira alishakuwa na kashfa za madawa, lakn pía enzi za utawala wa Jakaya alishawahi kukamatwa na mkono wa albino ndani ya gari lake, haikujulikana kesi yake aliimalizaga vipi lakn alirudi uraiani na kuendelea na mishe zake
Sasa mtu mwenye kashfa za namna hiyo ataufurahia vipi utawala uliokata mrija wa chakula chake cha harámu!????
Vipi kuhusu waliokuwa wakishiriki matukio ya ujambazi, vyeti feki, wauza madawa, wapiga dili za ufisadi Serikalini, wezi na wahujumu wa mali za CCM, wakwepa kodi,, nk nk
JE WATU WA KWENYE MAKUNDI HAYA WATAFURAHIA UTAWALA WA MAGU ULIOHARIBU MRIJA WA CHAKULA CHAO...!????
Kwani zitto kakamatwa mkuu?
Mkuu aliwahi kukuomba K?Anapenda sana k tofauti tofauti.
Hii kaliSasa,kama mtu alikuwa anafungua mlango au sehemu ya juu ya gari likiwa kwenye mwendo mkali ili tu apunge mkono,unaona alikuwa tamimu kweli?
Huyo alikuwa na roho mbaya na muuaji mkubwa hakuna mfano wake hapa nchini!Basi nadhani na Nabii Mwingira ana kitu hatukijui juu yake. Maana hata JK hawakuwa wanaelewana. Alipokuja Dkt Magufuli kipindi cha kampeni alimdhihaki sana hicho kipindi na aliwatabiria waumini wake kusema Dkt Magufuli hatoshinda uchaguzi ila Dkt Magufuli akashinda. Nadhani Nabii atakuwa na kitu na serikali ambacho si chema anakijua ila wananchi hatujui. Pia serikali imuue kwa lipi??? Nadhani Nabii atakuwa na ugomvi wa makanisa yao yaani wao kwa wao ma nabii na maaskofu wanatafutana ili kuzimana kasi ya waumini. Dkt Magufuli hakuwa mtu wa tabia ya kuua watu.
Vema.Hali iliyopo isipuuzwe.Hali ni moto.Itafutiwe kipoozeo au cha kuiondoa.Na wala si kudharau tu au kuongezwa moto.Na kama kila anayelalamika ni hasira juu ya jambo fulani, basi utawala ulijaa tabia ya kutengeneza hasira kwa wananchi wake.. Haiwezekani kila anayelalamika aonekane ana hasira ya kitu fulani
Au mK? 😃😃😃Mkuu aliwahi kukuomba K?
Hapana mkuu acheni hizo mambo. Mwingira alikuwa na chuki binasafi kwa sababu mambo ya uchaga na mke ni mchaga na lowasa.Huyo alikuwa na roho mbaya na muuaji mkubwa hakuna mfano wake hapa nchini!
Nilifikiri hiyo ni logic nyepesi sana.Kwahyo na Sasa tuhalalishe umalaya kwa vile nchi nyingine wameruhusu?
Hasafishiki huyo hata uwe na kichwa cha mwendawazimu!Kipindi Magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa ikikabiliwa na baadhi ya changamoto kama zifuatazo:
1. Ufisadi na Rushwa serikalini mpaka ndani ya chama cha CCM
2. Wizi na ujambazi majumbani, biasharani mpaka kwenye mabenki
3. Mauaji ya albino
4. Madawa ya kulevya
5. Ugaidi wa kibiti na kule amboni
6. Uporaji silaha vituo vya polisi
7. Ukwepaji kodi na utakatishaji fedha
8. Vyeti feki na watumishi hewa
9. Na mengineyo mengi
Miaka MINNE baada ya Magu kuingia madarakani, asilimia 90% ya hizo changamoto zilikuwa ni historia,,, hatukuzisikia tena zikijitokeza, Serikali ya awamu ya TANO ilizitokomezea mbali
Sasa huyu Mwingira alishakuwa na kashfa za madawa, lakn pía enzi za utawala wa Jakaya alishawahi kukamatwa na mkono wa albino ndani ya gari lake, haikujulikana kesi yake aliimalizaga vipi lakn alirudi uraiani na kuendelea na mishe zake
Sasa mtu mwenye kashfa za namna hiyo ataufurahia vipi utawala uliokata mrija wa chakula chake cha harámu!????
Vipi kuhusu waliokuwa wakishiriki matukio ya ujambazi, vyeti feki, wauza madawa, wapiga dili za ufisadi Serikalini, wezi na wahujumu wa mali za CCM, wakwepa kodi,, nk nk
JE WATU WA KWENYE MAKUNDI HAYA WATAFURAHIA UTAWALA WA MAGU ULIOHARIBU MRIJA WA CHAKULA CHAO...!????
Hahaa atuambie mana kakomalia point hiyo.Au mK? 😃😃😃
Inawezekana wake za watuAkamzalisha na kumzalisha mke wa mtu. Alijiona Mungu sana yule boya