Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Samia ni dhaifu,akapumzike tu alee wajukuu.
 
Samia ni dhaifu,akapumzike tu alee wajukuu.
chawa kama chawa.Angalia usioutombe moto utaungua mavuz.i
 
Chawa
 
 

Attachments

  • EXlKXaKWsAUBTsp.jpg
    6.5 KB · Views: 1
Mkuu, maumivi kwa magufuli yalikuwa kwa wachache, hasa kwa wale yeye aliamini ni wapinzani wake wakiwamo wafuja fedha n.k

Ila kwa waliokuwa wengi, hawawezi kusikiliza maoni haya Stuxnet
Siwezi kujali kusema ukweli kwa sababu ya kuwafurahisha wengi. Kama mwenyewe unakubali aliwachukia wapinzani na wenye fedha, ina maana Magufuli alikuwa mtu wa HOVYO
 

Rubbish, upumbavu kama huu uliouandika ndio imetufikisha hapa.
Ni haki ya kila mtanzania kupata huduma zote za msingi. Ndio maana tunalipa kodi. Badala yake huduma za msingi zinasambazwa kwa upendeleo. Kuna sehemu Tanzania unafika na kujiuliza mara kadhaa: hapa napo ni Tanzania?
Why DPW? Serikali inashindwa nini kununua infrastructure walizonazo DPW na kuzifunga bandarini? Wanashindwa nini kutrain na kuwasimamia wafanyakazi wa bandarini na kuhakikisha kuna mafanikio na kuondoa vitendo vya wizi?
Haya yote ni matokeo ya kulea upumbavu. Magufuli was doing good save that he was a killer and he narrowed and limited corruption channels to his cronies.
 
Mkiambiwa mthibitishe hio trillion 3 ilienda vipi kwa JPM mtaanza kujinyea
 
Serikali dhaifu kupata kutokea toka Tz imeumbwa ni hii ya 6 sijui, ni kama mbwa koko!.
Serikali pekee iliyobariki upigaji, rejea Mama akiwaambia wasaidizi wake (Mawaziri) wale kwa urefu wa kamba zao shingoni!.
Et wale ila wasivimbiwe!.
Sitii neno ila basi tuu. Jiwe lilidondoka tukabaki na tope.
 
Kikwete was the worst president , mama Kajenga shule na hospitals kibao . Ka improve health sectors sana . KIKWETE AMNA KITU AMFANYA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Alikuwa useless sana .
Ka improve health sector kwa kupandisha gharama za Bima? Yani bima ya Toto Afya kuiharibu na vifurushi vyengine kuvizidisha gharama kama kila mtu ni fisadi vile.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliosoma seminali utawajwa tu.madai ya kitoto kabisa,ubaguzi utawatafyna,Mama anaupiga mwingi.
 
Mateso Gani ya wananchi kushindwa kipindi kile?

Nitajie raia mmoja aliyenufaika kwa wakati ule?
Una akili gani? Bei ya vyakula sasa ni sawa na wakati ule? Unajua JPM aliacha unga na mchele sh ngapi? Unajua aliacha mafuta bei gani? Serikali imeshindwa kuthibiti mfumko wa bei. Kisingizio cha global issues ni kichaka cha wahuni ku inflate bei ya vitu kuliko uhalisia.

Sasa kama dollar hakuna, mafuta hayashikiki, maji hayaeleweki, na sasa umeme masaa hadi 15 hakuna utasema kuna watu wanafanya kazi? Unajua biashara ngapi zinapepesuka? Au upo kwenye AC office za umma unafikiri kila mtu yupo hivyo?

Umeme kipindi chote cha JPM ulikuwa unakatika kawaida lakini si mgao! JPM alileta mvua? JPM alikuwa na vyanzo vipya vya umeme? Tena si alitimua baadhi ya vyanzo umizi kama IPTL lakini bado nchi ilipata umeme.

Hii nchi imejaa wahuni, hawa wahuni wakikuona legelege wanafanya watakalo na ndio kinachoendelea.
 
Mkuu hiyo ni lugha ya picha
Nikimaanisha taja kundi Moja tulijadili kutokana hoja yake?

Nini maana ya chawa?
Fanyieni kazi kero za wananchi, acheni kuwakamua ili nyinyi muishi kama mko peponi
 
Mkuu, sikujua kama chawa ni wapumbavu kiasi kile

Wameambiwa kuupinga ukweli hata kwa matusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…