makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Aiseeeeee! Nimeliaa sanaaaaa ... Aziz Tena mate chiniiiiiSisi Kama chama Cha ma jobless pro max, tume sikitika kwa ushamba wa huyo dogo😂😂.
Katibu min -me, makamu makutupora, Selikavu, Bolotoba, Edo kissy
Kuishi unyumba na wanaume kadha wa kadha,kuzaa na wanaume kadha wa kadha,kutembea na wanaume kadha wa kadha na kuchumbiwa na wanaume kadha wa kadha ndiyo ya kuombea kwa mwanamke wa kitanzania kweli.😊Waombee wenzio mambo mazuri jamani sio poa hivyo.
Value yake! Alishajijenga tayari so haendi na k pekee! What she brings on the table determines her value.
🥶😮💨Imeniuma Nimewaza siku aziz k kiwango kikashuka fame ikapungua je watabaki pamojaSisi Kama chama Cha ma jobless pro max, tume sikitika kwa ushamba wa huyo dogo😂😂.
Katibu min -me, makamu makutupora, Selikavu, Bolotoba, Edo kissy
Natamani nitume voice note maana kuandika haitoshi🥶Simps and weak men always become step fathers
Value yake ni kiasi gani mkuu. Hata ugali, maharage na mchicha mezani hushibisha.Value yake! Alishajijenga tayari so haendi na k pekee! What she brings on the table determines her value.
Mbona wanaolewa siku zote? Nadhani wanaongoza.Bora single Maza nyota zimeanza kung'aa.
Natamani nitume voice note maana kuandika haitoshi🥶
Kuna msemo mademu nimesikia wanasema kwamba wanazaa na wanaume warefu alafu wafupi ndo watakuja kulea
Muulize muoaji ndio mwekezaji mwenyewe! Analipa kwa kuona value for money, mi mchangiaji najuaje? Wrong question to the wrong personValue yake ni kiasi gani mkuu. Hata ugali, maharage na mchicha mezani hushibisha.
Punguza ukali wa maneno mkuu, wengine ni watu wa dini kuwastiri wanawake kwao ni ibada.Ni aibu sana kwa mwanaume kulea bao la mwanaume mwenzake
Mwanaume yoyote anayeoa single mom ni dhaifu sana ni kama choko tu
#127 umesema alishajijengea value means unaijua.Muulize muoaji ndio mwekezaji mwenyewe! Analipa kwa kuona value for money, mi mchangiaji najuaje? Wrong question to the wrong person
Ya nje huioni? Jielimishe kdg kaka/dada! Ni logic tu kama milionea kaamua kuchukua jumla maana yake kaona anamtosha, sisi wapita njia tunaumia kwa nini?#127 umesema alishajijengea value means unaijua.
Mil 30 ndogo sana kwa Azizi Ki jamaa anaweza fanya x 3 pale mengine ni kiki tu za mtandaoniHmm.. milione 30 mahari? Mnauhakika na haya mnayoandika
Uhuru wa kuongea unaheshimika na imani yako haiwezi kuwa standard ya maisha ya wengine! Tujifunze kuheshimu maisha na mawazo ya watu wengine tena wasiotuhusuNi aibu sana kwa mwanaume kulea bao la mwanaume mwenzake
Mwanaume yoyote anayeoa single mom ni dhaifu sana ni kama choko tu
Usijaribu mchezo huo wa kuwa single mother kama una mganga mashuhuri.
Ilikua kidogo nioe singo maza😅kwasababu I am broke and wasichana wabichi wananitolea nje Ila Kila nikimtazama. Broo Salim kikeke Yan Sina Ata haraka tenaNi aibu sana kwa mwanaume kulea bao la mwanaume mwenzake
Mwanaume yoyote anayeoa single mom ni dhaifu sana ni kama choko tu
Wewe umelala na wanawake wangapi? Kwahiyo ulitaka asiolewe? Na je angeolewa na mtu asiye na kitu ili mpate kumcheka vizuri? Je angelisema mdogo wako au dada yako? Huo wivu mwanamke tens mwenye watoto kaposwa million 30.Kuishi unyumba na wanaume kadha wa kadha,kuzaa na wanaume kadha wa kadha,kutembea na wanaume kadha wa kadha na kuchumbiwa na wanaume kadha wa kadha ndiyo ya kuombea kwa mwanamke wa kitanzania kweli.😊