Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Baada ya hizi ajira za TAMISEMI, Wanaume wenzangu mmejiandaaje na mapenzi ya Bluetooth?

Hahahahahaha labda kaseja hayupo golini
Akiwepo ndo binadamu a-behave kama mbwa? 🤣 🤣 Kinachomtofautisha binadamu na mnyama ni AKILI na UTASHI pekee. Binadamu akishakosa control ya anachotaka kufanya atatofautishwaje na mbwa sasa?

Inshort- TABIA ndo huwa inam-define mtu, umbali ni ishu ndogo mno, tena sana. Mwanamke au mwanaume malaya haitaji umbali kutimiza azma yake, hata gap la hatua moja kwake linaweza kuwa opportunity my friend 🤣🤣🤣

Na nyakati hizi ndo HEKIMA na BUSARA inazidi kupungua sana miongoni mwetu wanadamu, kiasi kwamba mtu anatamani kulala hata na mwanaye wa kumzaa au Mzazi, haya mambo hayatoisha mpaka watu wajitambue na MUNGU aingilie kati.
 
Akiwepo ndo binadamu a-behave kama mbwa? [emoji1787] [emoji1787] Kinachomtofautisha binadamu na mnyama ni AKILI na UTASHI pekee. Binadamu akishakosa control ya anachotaka kufanya atatofautishwaje na mbwa sasa?

Inshort- TABIA ndo huwa inam-define mtu, umbali ni ishu ndogo mno, tena sana. Mwanamke au mwanaume malaya haitaji umbali kutimiza azma yake, hata gap la hatua moja kwake linaweza kuwa opportunity my friend [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na nyakati hizi ndo HEKIMA na BUSARA inazidi kupungua sana miongoni mwetu wanadamu, kiasi kwamba mtu anatamani kulala hata na mwanaye wa kumzaa au Mzazi, haya mambo hayatoisha mpaka watu wajitambue na MUNGU aingilie kati.
Kiufupi haya hayaish Mkuu hata Allah aingilie upande gani hatoboi, Kumbuka Sodoma na Gomora lakini bado Moto ule ule siku hizi ndo watu wanafunga ndoa mpaka na Wanyama ahyaaah
Wacha tu tuish hiv hiv, Dunia sinia chukua unachoweza.

Ndoa/mke/mume ni kwaajili ya watoto siyo kwa ajili yako kwahivo usikae kumfikiria saana kikubwa akutunzie watoto tu. Na kama hujamuoa basi huyo ni mke wetu sote pressure ya nini?
 
INTRODUCTION
Ashukuriwe Mhe. Raisi Mama Samia kwa kutuletea hizi ajira zaidi ya 11,000 hakika ameupiga mwingi.

 PROBLEM
Ila Sasa nataka kuongea na kuuliza mabaharia MMEJIANDAAJE NA NDOA/MAPENZI YA BLUETOOTH kati yenu na hao wapenzi wenu?

SCENARIO
Unataka kunielewa?
Twende pamoja....

1. Upo Songea mkeo kapata ualimu Dar.

2. Upo Dodoma mchumba ako kapata post ya ajira ya unesi Mbeya.

3. Upo Sumbawanga, baby kawa mwalimu wa Kiswahili Iringa.

Sasa umejiandaaje?

Unajua huko anakoenda nako kuna wanaume?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

CONCLUSION
Nikiwaambia msioe muwe mnaelewa.
Sasa mkeo/mchumba ako anapelekea mzigo wakulungwa ambao kwao ni mzigo mpyaaaa.

Haya bana, Mi waliopangiwa huku halmashauri yangu nawasubiri kuwakarimu kwa kuwapa ushirikiano wapate pakufikia.

Na infact hapa gheto nilikopanga Kuna self 2 double hazina wapangaji.

Mliopata ajira KARIBU KWENYE MATESO YA AJIRA ZA HALMASHAURI.

Anyway....
YANGA BINGWA

#YNWA
Hapo ni kufanya tu mabadilishano, Uyo waachie wa huko alikopangiwa na wewe udeal na waliopangiwa ulipo wewe, Wivu wa nini mwisho ushindwe kutafuta pesa akat Mwenzio kaendea pesa.
Maisha ni rahisi sana afu siku hizi kuhama vituo vya kazi ni simple tu vumilia kwa kitambo kidogo.
 
Ati Oooh Honey nakuombea upate kazi....
Ndo kapata sasaa ahahahahahahahahah.
 
Ndoa ni Agizo la Mungu. Unachofanya ni uhuni tu au Huna nguvu za kiume
Ni kweli ni agizo la Mungu na alisema kuwa kuanzia sasa mnakwenda kuwa mwili mmoja😂😂😂 ila hakunaga mwili mmoja ambao kipande kiko Njombe na kingine kiko Dsm.

Hapo ndiko biashara inakoishia.
 
Asikudanganye Mtu ndugu yangu. Hakuna mwanamke/mwanaume atakaa miezi 6 Nachingwea anakusubiri wewe wa Kamachumu asigongwe/kugonga.
Hahahahah labda kama atam freeze nyege zisiwe sehemu ya mwili wake. Ila mtt wa kike kakaa miezi mitatu tu lazma aanze kuwashwa washwa kifuatacho ITV 😂😂😂😂😂
 
Kuna jamaa yupo Dar mke kapangiwa Kigoma na baharia anaunga unga tu mtaani hapo ndo basi tena hakuna ndoa.
Ndoa ndio imeota mbawa hivyo...Muandalie box la
panadol Advance...Miezi mitatu haifiki simu za mpenziwe ataanza kuzipata kwa ugomvi na misonyo 😂😂😂
 
Ndoa ndio imeota mbawa hivyo...Muandalie box la
panadol Advance...Miezi mitatu haifiki simu za mpenziwe ataanza kuzipata kwa ugomvi na misonyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahakikishe anamtungisha mimba kabla ya kuondoka, walau ndoa itakaakaa kidogo. Vinginevyo aendelee kuungaunga tu na kutafuta mbadala mapema ili joto la kuachwa lisipande sana.
 
Ahakikishe anamtungisha mimba kabla ya kuondoka, walau ndoa itakaakaa kidogo. Vinginevyo aendelee kuungaunga tu na kutafuta mbadala mapema ili joto la kuachwa lisipande sana.
Hahahah salama yake ni mimba tu. Ahakikishe ameondoka na ujauzito tu.
 
1. Upo Songea mkeo kapata ualimu Dar.

2. Upo Dodoma mchumba ako kapata post ya ajira ya unesi Mbeya.

3. Upo Sumbawanga, baby kawa mwalimu wa Kiswahili Iringa.
Hiyo mikoa ni reachable in one day, chukulia
  1. Songea na Bukoba
  2. Songea na Musoma
  3. Songea na Moshi
  4. Kigoma na Mtwara
  5. Mtwara na Katavi
  6. Mbulu na Mbinga
 
Akiwepo ndo binadamu a-behave kama mbwa? [emoji1787] [emoji1787] Kinachomtofautisha binadamu na mnyama ni AKILI na UTASHI pekee. Binadamu akishakosa control ya anachotaka kufanya atatofautishwaje na mbwa sasa?

Inshort- TABIA ndo huwa inam-define mtu, umbali ni ishu ndogo mno, tena sana. Mwanamke au mwanaume malaya haitaji umbali kutimiza azma yake, hata gap la hatua moja kwake linaweza kuwa opportunity my friend [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na nyakati hizi ndo HEKIMA na BUSARA inazidi kupungua sana miongoni mwetu wanadamu, kiasi kwamba mtu anatamani kulala hata na mwanaye wa kumzaa au Mzazi, haya mambo hayatoisha mpaka watu wajitambue na MUNGU aingilie kati.
Ukweli kabisa
 
Mapenzi ya mweli na dhati yapoo. Tusitishane hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiukweli madams wanachakatwa sana
Sema kucheat ni hulka ya mtu

Hata akiwa karibu utachapiwa tu
 
Hiyo mikoa ni reachable in one day, chukulia
  1. Songea na Bukoba
  2. Songea na Musoma
  3. Songea na Moshi
  4. Kigoma na Mtwara
  5. Mtwara na Katavi
  6. Mbulu na Mbinga
Mbeya na Mwanza..!!!
Mwanza na Songea.!!
Dar na Bukoba..!!!

Hapa mapenzi Yashakufa.
Mnabaki kulea watoto tu..!!

#YNwa
 
Pole kwa yaliyokukuta ungeoa mama wa nyumbani umfungulie kiofisi hata M,pesa yasingekukuta tatizo vijana wa sasa mnapenda kitonga sana.
Nani kakwambia nimeoa?
Unamjua Mr. Liverpool kweli wewe?

#YNWA
 
1. Yale makontena yaliyobeba V8 na Range huliwa na Wakuu wa Idara na Maafisa wa HQ (Halmashauri/Bomani).

2. Yalibeba Verosa na Crown huliwa na MEK, Wakuu wa washule, na Watendaji Kata.

3. Yaliyobeba IST na SWIFT haya huliwa na maafisa wadogo kama walimu, madkatari na wengine.

to yeye Aione kwenye Jalada.

#YNWA
😂😂😂😂😂😂huna maana we jamaa, nimecheka sana hiyo ''aione kwenye jalada''
 
Back
Top Bottom