Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee mimi ni mstaafu!Kwa unafiki na kujipendekeza wewe na huyo njaa nafasi hiyo inawafaa
Kwani polepole kaacha ukatibu mwenezi? Akiwa mbunge hawezi kuwa KM?WanaJf ni lazima tupendane.
Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.
Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio amejiuzulu!Kwani polepole kaacha ukatibu mwenezi? Akiwa mbunge hawezi kuwa KM?
Hamna atapatikana tu mwingine,kumbuka nape nauye alipoingia bungeni nakuteuliwa polepole kwa muda mrefu sana poleple akaonekana kashindwa kuvaa viatu vya nape nauye mpaka ilipofika kipindi cha uchaguzi 2020 ndipo walau polepole ali shainiKafulila hawezi kazi ile.
Polepole ameacha viatu vikubwa sana kwenye nafasi ya karibu uenezi huko CCM.
Mchukie umpende lakini kazi aliiweza kitaalamu hasa, kama vile Dr. Wilbroad Slaa alivyoacha viatu vikubwa sana ukatibu mkuu wa CHADEMA.
kwa maoni yangu anatosha kabisa, bila kujali mleta mada umemaanisha kuleta mada hii au na wewe uko kundi lile lilozoea kudhihaki watu.WanaJf ni lazima tupendane.
Kwa namna mkuu Pascal Mayalla anavyoipigania CCM na kwa taaluma yake ya uandishi wa habari na sheria, ninamuona kama mtu sahihi katika nafasi iliyoachwa wazi na Polepole.
Wanaccm wenye mapenzi mema maoni yenu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Atasubiri sana!Kafulila anapewa ubunge anytime!
Ninamaanisha nilichokisema!kwa maoni yangu anatosha kabisa, bila kujali mleta mada umemaanisha kuleta mada hii au na wewe uko kundi lile lilozoea kudhihaki watu.
Mtu atoke upinzani juzi tu ndo apewe Ukatibu.
Tucheze na Itikadi zinazoishi rohoni
Kwann si Nape Nauye
Kwann si Nape Nauye