January ni chaguo la Kikwete ila mama ni lazima ampige chini Kwani hana manufaa
I can assure you January will survive the coming TSUNAMI!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
January ni chaguo la Kikwete ila mama ni lazima ampige chini Kwani hana manufaa
Yeye ni Raisi. Hawezi zungukwa na wasaidizi wasiomsaidia kazi kwa sababu wanataka uraisi 2025. Kuna miaka 2 ya kuipagina taifa kabla ya 2025.Kwa maneno yake,body language ...ni dhahiri naye ana homa 2025 ,Tena ipo juu!
He will survive saga, but he is uselessI can assure you January will survive the coming TSUNAMI!!
Anastaili muda, nimapema sana kutambua kama anamanufaa au la, isitoshe hana zaidi ya miezi nane toka amepewa wizaraJanuary ni chaguo la Kikwete ila mama ni lazima ampige chini Kwani hana manufaa
He will survive saga, but he is useless
Huyo ndio pengine aina ya watu anawataka. Sio ma Phd ila wanatakiwa wajuzi wa kupiga hela ya umma🤣🤣Hapa pagumu😆
View attachment 2068587
Kujikomba anawezaNamuona Nape mzee wa goli la mkono kwa mbaaaali kwenye ofisi ya wizara flani hivi.
Makamba atapona?Mwigulu atapona?
Anawaza uraisi 2025 anajua 2030 ni ya dini Nyingine, Kikwete hamkubali January tunamsingiziaJanuary ni chaguo la Kikwete ila mama ni lazima ampige chini Kwani hana manufaa
Hivi mnamuachaje wa Nishati tunavyoteseka na mamigao ya hovyo hovyo namna hii?Elimu
Ndani
Nje
Biashara
Micheal
Mwigulu
Ummy
Afya
Wote hawafai kifupi
Tutaona timu mpya itafananaje
Uzuri ni kwamba Samia anapitia mitandaoni, jana nimeamini kwa hotuba ile.January ni chaguo la Kikwete ila mama ni lazima ampige chini Kwani hana manufaa
Umegusia kwa sehemu conviction yangu.To me Ministers,RCs,DCs na Halimashauri ni wastage of resources na avenues za kuleta misuguano tu kazini na hivyo kurudisha maendeleo ya wananchi nyuma bure.Halimashauri specifically zimekuwa umiza kichwa,zifutwe.Ministers,RCs na DCs nao are there for political reasons,hawana umuhimu wowote katika kuwapatia wananchi maendeleo.Posts hizo nazo zifutwe.Nchi yetu inahitaji service delivery sio mihemko hii ya kila wakati,my President please punguza cabinet yako to 15 minister's,hawa ni rahisi to manage them,sign them performance contract,ondoa RCs wote na bakisha wataalamu kuongoza idara chini ya RDD,hii itasaidia kupunguza matumizi ya serikali na kupeleka fedha nyingi za maendeleo hasa huku Lingusenguse ambako muda mrefu kumesahaulika kwa muda mrefu mno.