Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Oneni chizi huyu, unajuwa sheria ya manunuzi?Hapakuwa na sababu ya kumshindanisha na mtu yoyote. Anamiliki meli 400 zinazozunguka dunia nzima, nitajie mshindani wake mwenye wingi wa meli zenye kufikia angalau nusu tu ya hizo 400.
Anaendesha bandari za Uingereza, China na Ulaya nzima, ni mzoefu sana wa end to end logistic chain ambayo kisasa ndio maana mpya ya neno PORT.
Kwa suala la vigezo kawazidi wengi sana. Kanisa limechemka vibaya kuja na waraka wakati walikuwa hawajui kwa kina malengo ya serikali ni yapi.
Onesha Terminal 1Part 2 ya iga inahusu Terminal 1. Muswada wa Sheria ya Maliasilia hauhusiani na uwekezaji wa Bandari. Shida yako nini?
Bunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,Kasome part II ya IGA, kama huna nikupatie, huwa unapoteza muda kuandika ujinga!
Bunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,
Huoni kwamba sauti zimesikika kwamba Kuna uhovyo ulikua unafanyika?
Tafuta appendix we kilazaOnesha Terminal 1
Baada ya kuacha kupeleka ule mswada bungeni....Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.
Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.
Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.
Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.
Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.
Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.
Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.
Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!
Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.
Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?
Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.
Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.
Tumsifu Yesu Kristo!
Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Tulipofikia ilikuwa ni kutengeneza tatizo ambalo halina sababu. Kwa mara ya kwanza nimeanza kufikiria kutakuwa na mabadiliko ya kweliBunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,
Wewe ndio mjinga kupitiliza msingi wa appendix unatokana na malengo makuu, appendix nisehemu mahususi! Main objective ndio inasubmit bandari zote za bahari, na maziwa! Punguza UJInga na ujuha!Tafuta appendix we kilaza
Sio kila kitu kina ulazima wa kununuliwa kwa sheria ya manunuzi. na hili lilishaelezewa kwa kina na wanasheria wa wizara mbele ya wahariri na mbele ya maaskofu.Oneni chizi huyu, unajuwa sheria ya manunuzi?
Inaweza ikawa dhana tu na isiwe halisi, wanasiasa wakiona mkate ni rahisi kubadilika na hivyo kutoaminikaTulipofikia ilikuwa ni kutengeneza tatizo ambalo halina sababu. Kwa mara ya kwanza nimeanza kufikiria kutakuwa na mabadiliko ya kweli
Endelea tu kubwabwaja. Uwekezaji wa DP Lworld kwa mujibu wa Appendix ni sehemu ya Terminal 1.Wewe ndio mjinga kupitiliza msingi wa appendix unatokana na malengo makuu, appendix nisehemu mahususi! Main objective ndio inasubmit bandari zote za bahari, na maziwa! Punguza UJInga na ujuha!
Sio sasa hivi. Hata haya mabadiliko yamekuwa ya lazima. Lazima kuweka watu ambao wataweza kusawazisha hizi kelele za miezi kadhaa.Inaweza ikawa dhana tu na isiwe halisi, wanasiasa wakiona mkate ni rahisi kubadilika na hivyo kutoaminika
Andiko zuri Mkuu, umesahau kuweka namba ya simu hapo mwisho.Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.
Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.
Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.
Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.
Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.
Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.
Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.
Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!
Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.
Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?
Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.
Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.
Tumsifu Yesu Kristo!
Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Kwani Sheria ya manunuzi haina single source?Oneni chizi huyu, unajuwa sheria ya manunuzi?
Tuambie ni Sheria ipi inayosema sio lazima, na utaje kwamba uwekezaji wa sehemu mahususi kama Bandari au sehemu yoyote kwamba imetajwa humo kufanyika pasina kufuata sheria ya manunuzi!Sio kila kitu kina ulazima wa kununuliwa kwa sheria ya manunuzi. na hili lilishaelezewa kwa kina na wanasheria wa wizara mbele ya wahariri na mbele ya maaskofu.
Brother hatubwabwaji tunaestablish real facts zilizoko katika maandishi ya IGA.Endelea tu kubwabwaja. Uwekezaji wa DP Lworld kwa mujibu wa Appendix ni sehemu ya Terminal 1.
Watanzajia siyo wakatoliki, nchi yetu haina dini, huo waraka wao wawaandikie waumini wao waache ulevi, uzinzi na ushirikina. Waachanane na mambo yahusuyo uendeshaji wa nchi, ya kwao yenyewe yamewashinda, hilo ni baraza la kiinjiliBasi msimamo wa Kanisa ndio msimamo wa Waumini
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Ndg yangu hapo kuna wapiga dili na wengine ni manyumbu tu yanafuata yasiyokijua kwasababu ya ujinga wao.Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.
Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.
Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.
Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.
Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.
Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.
Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.
Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!
Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.
Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?
Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.
Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.
Tumsifu Yesu Kristo!
Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Na we unajiita mwenye akili? Nyie mapoyoyo tu na mmeshashindwaTunataka mchakato wa tenda uwekwe wazi DP wamepataje na mkataba hatutaki ni wa kinyonyaji.
Wewe poyoyo huwezi kujuwa watu wenye akili wanapinga nini.
Sasa kwa mujibu wa Appendix 1 uwekezaji wa DP World ni RoRo Terminal (Berth 0), General Cargo Terminal (Berth 1-4) na Container Terminal ( Berth 5-7)Brother hatubwabwaji tunaestablish real facts zilizoko katika maandishi ya IGA.
Swali Rahisi kwako:Watanzajia siyo wakatoliki, nchi yetu haina dini, huo waraka wao wawaandikie waumini wao waache ulevi, uzinzi na ushirikina. Waachanane na mambo yahusuyo uendeshaji wa nchi, ya kwao yenyewe yamewashinda, hilo ni baraza la kiinjili