Baba mzazi wa Askari Polisi anayedaiwa kujinyonga Mtwara adai kutoridhishwa na taarifa ya mwanae kujiua

Baba mzazi wa Askari Polisi anayedaiwa kujinyonga Mtwara adai kutoridhishwa na taarifa ya mwanae kujiua

wakiuana si ndo vizuri.
Haya ndio matokeo ya kulindana.
Walianza kwa Hamza wakampa cheo Cha ugaidi.
Tukio lile lile la Hamza limekuja kutokea Tena.
Chanzo ni DHULMA.
Huyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama anaangaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibikaHuyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama ana angaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibika
 
Huyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama anaangaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibikaHuyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama ana angaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibika
Na baaathiiiii ddaaaaay Leo hapa benja hatujasoma wanafunzi wamemuimbia nyimbo.
Ila mbona mwaka juzi Jana na miaka ya huko enzi za j p n sikuiona hii ishu.
Yaani hapa kila wilaya iwe nchi ndo tutaheshimiana.
Ama kila Kijiji kijimiliki chenyewe
 
Huyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama anaangaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibikaHuyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama ana angaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibika
 
Akiongea na Azam News, Baba mzazi wa askari aliyejinyonga anasema hajaridhishwa na taarifa za kifo cha mwanae!

Anasema alipigiwa simu na kuambiwa mwanao tumpeleke akazikwe wapi? Akawaambia mleteni nyumbani kwangu Tabata, Dar Ea Salaam.

Walipofika wakataka kushusha maiti na kuondoka, ndipo alipowagomea na kuanza vurugu baadae maiti ikaenda kuhifadhiwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Baba mzazi ana mashaka na kifo cha mwanae, anasema mwanae ameuawa kwa kuwa mwanae alisimamia ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake kufanya mauaji ya mfanyabiashara.

Baba mzazi anamuomba IGP Sirro kuunda tume kuchunguza kifo hiko. Anasema haiwezekani sero ya polisi kuwe na tambala!

Baba mzazi wa marehemu ni askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Alipaswa akatae mwanae kuzikwa ili afanyiwe uchunguz,
 
Dah hii
Kwenye mchongo Kama huo ukitumwa kuua na ukakataa, basi na wewe watakuondoa tu. Kwenye majeshi yote ni lazima kutii amri ya mkubwa wako, nasisitiza ni lazima.
Dah hizi kazi za haya majeshi hazifai bas kabisa..
Bora nikamwage pili pili zangu hoho barbrn,
Kazi ni kutumwa kuua mtu asokua na hatia na hutakiwi kukataa
 
Akiongea na Azam News, Baba mzazi wa askari aliyejinyonga anasema hajaridhishwa na taarifa za kifo cha mwanae!

Anasema alipigiwa simu na kuambiwa mwanao tumpeleke akazikwe wapi? Akawaambia mleteni nyumbani kwangu Tabata, Dar Ea Salaam.

Walipofika wakataka kushusha maiti na kuondoka, ndipo alipowagomea na kuanza vurugu baadae maiti ikaenda kuhifadhiwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Baba mzazi ana mashaka na kifo cha mwanae, anasema mwanae ameuawa kwa kuwa mwanae alisimamia ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake kufanya mauaji ya mfanyabiashara.

Baba mzazi anamuomba IGP Sirro kuunda tume kuchunguza kifo hiko. Anasema haiwezekani sero ya polisi kuwe na tambala!

Baba mzazi wa marehemu ni askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Kilio nilazima kita amia nyumbani unajuwa kwa nini? Hawa askari hawawatendei haki Raia. Uwenda Mungu anatufundisha jambo. Uwenda Mungu anawakumbusha jambo wenye mamlaka. Ukifurahia misiba ya wenzio kesho utakuwa na misiba mingi nawengi wakukucheka.
 
Akiongea na Azam News, Baba mzazi wa askari aliyejinyonga anasema hajaridhishwa na taarifa za kifo cha mwanae!

Anasema alipigiwa simu na kuambiwa mwanao tumpeleke akazikwe wapi? Akawaambia mleteni nyumbani kwangu Tabata, Dar Ea Salaam.

Walipofika wakataka kushusha maiti na kuondoka, ndipo alipowagomea na kuanza vurugu baadae maiti ikaenda kuhifadhiwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Baba mzazi ana mashaka na kifo cha mwanae, anasema mwanae ameuawa kwa kuwa mwanae alisimamia ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake kufanya mauaji ya mfanyabiashara.

Baba mzazi anamuomba IGP Sirro kuunda tume kuchunguza kifo hiko. Anasema haiwezekani sero ya polisi kuwe na tambala!

Baba mzazi wa marehemu ni askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Seeeema kimeumanaaaa[emoji2]
 
Hawa mbwa wanaoua raia wasio na hatia dawa yao ndogo sana.

Kama unajijua huna Nguvu za kupambana nao, kiserikali ama kifedha dawa ni moja tu.

Chukuwa nauli waendee kwa wazee, hakuna kupoteza muda, yaan watasambaratika kwanzia Master plan wa mchongo, mpaka machawa wao wote wa mpango haramu.

Muda mwngine hatuitaji kupoteza muda kujibizana na haya mashetan watu.
 
Hawa mbwa wanaoua raia wasio na hatia dawa yao ndogo sana.

Kama unajijua huna Nguvu za kupambana nao, kiserikali ama kifedha dawa ni moja tu.

Chukuwa nauli waendee kwa wazee, hakuna kupoteza muda, yaan watasambaratika kwanzia Master plan wa mchongo, mpaka machawa wao wote wa mpango haramu.

Muda mwngine hatuitaji kupoteza muda kujibizana na haya mashetan watu.
Mm nafikiri kina Hamza wapatikane Kam kumi HV wapewe za usoo had akilli iwakae sawa
 
Hawa mbwa wanaoua raia wasio na hatia dawa yao ndogo sana.

Kama unajijua huna Nguvu za kupambana nao, kiserikali ama kifedha dawa ni moja tu.

Chukuwa nauli waendee kwa wazee, hakuna kupoteza muda, yaan watasambaratika kwanzia Master plan wa mchongo, mpaka machawa wao wote wa mpango haramu.

Muda mwngine hatuitaji kupoteza muda kujibizana na haya mashetan watu.
UCHAWI HAUPO NDUGU NI FIKSI TU.
 
Akiongea na Azam News, Baba mzazi wa askari aliyejinyonga anasema hajaridhishwa na taarifa za kifo cha mwanae!

Anasema alipigiwa simu na kuambiwa mwanao tumpeleke akazikwe wapi? Akawaambia mleteni nyumbani kwangu Tabata, Dar Ea Salaam.

Walipofika wakataka kushusha maiti na kuondoka, ndipo alipowagomea na kuanza vurugu baadae maiti ikaenda kuhifadhiwa hospitali ya Polisi Kilwa Road.

Baba mzazi ana mashaka na kifo cha mwanae, anasema mwanae ameuawa kwa kuwa mwanae alisimamia ukweli kuwa alitumwa na wakubwa wake kufanya mauaji ya mfanyabiashara.

Baba mzazi anamuomba IGP Sirro kuunda tume kuchunguza kifo hiko. Anasema haiwezekani sero ya polisi kuwe na tambala!

Baba mzazi wa marehemu ni askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Hivi tambala la deki selo kweli?! Mbona haiingii akilini kabisa?!
 
Back
Top Bottom