Baba mzazi wa Askari Polisi anayedaiwa kujinyonga Mtwara adai kutoridhishwa na taarifa ya mwanae kujiua

Baba mzazi wa Askari Polisi anayedaiwa kujinyonga Mtwara adai kutoridhishwa na taarifa ya mwanae kujiua

Binafsi nihudhuria Msibani mpaka mwuli unaagwa kuelekea Iringa, Nilishuhudia Afsa mmoja wa polisi Mtu mzima 45+ Alikua kwa uchungu na akaanza kuropoka mpaka wenzake wanamfata na kumwondoa haraka... Uchunguzi huru unahitajika
 
Ukiingia kwenye kazi za vyombo vya usalama hapa Africa ujue uwezekano wa kuondoka duniani kwa njia za ajabu ni mkubwa sana. Ukiwa wrong place at the wrong time umekwisha. Ukishiriki una kesi, ukikataa kushiriki, watakumaliza. Hakuna jema
 
Yaani mtu anakutuma kwenda kumuua mtu asiye na hatia na ww unaenda!!!!!
Hata kama mtu ni boss wako ndio akupe tu maagizo ya kipumbavu na ww unatii hata bila kufikiria mara mbili?!!!
Vilaza
Mkuu umeshambiwa hiyo kazi ni hakuna kukataa oda ya mkuu wako,
Na ukikataa means unatakiwa kupotea ili kumlinda mtoa oda..
 
Kama kundi zima la watuhumiwa walikuwa wameswendekwa ndani, ni nani aliyeshawishi na kusimamia mauwaji ya polisi mtuhumiwa mwenzao aliyefia mahabusu?

Hii cyndicate inamgusa moja kwa moja Rpc na viongozi wengine wakubwa wa polisi mkoa kama Rco!

Hawa watu wakiwekwa pembeni ama nao kuunganishwa katika tuhuma itasaidia kuupata ukweli wa jinsi mnyororo wa wauwaji ulivyokuwa umejipanga na kutekeleza uovu huo.

Kuwaacha hawa watu muhimu kuendelea kuvaa magwanda ya polisi na kukalia viti vya nyadhifa zao watasaidia kupotosha na kupoteza uelekeo wa kupata ukweli wa jambo hili haraka.
Ukiangalia ilee klip ya RPC alivyokua anatoa Ile taarifa usoni utaona alikua na wakati mgumu sana. Kuna kitu anakijua lkn hawezi kukisema.
 
Ukiingia kwenye kazi za vyombo vya usalama hapa Africa ujue uwezekano wa kuondoka duniani kwa njia za ajabu ni mkubwa sana. Ukiwa wrong place at the wrong time umekwisha. Ukishiriki una kesi, ukikataa kushiriki, watakumaliza. Hakuna jema
Ukiwa wrong place at the wrong time umekwisha. Ukishiriki una kesi, ukikataa kushiriki, watakumaliza. Hakuna jema
 
Kama kundi zima la watuhumiwa walikuwa wameswendekwa ndani, ni nani aliyeshawishi na kusimamia mauwaji ya polisi mtuhumiwa mwenzao aliyefia mahabusu?

Hii cyndicate inamgusa moja kwa moja Rpc na viongozi wengine wakubwa wa polisi mkoa kama Rco!

Hawa watu wakiwekwa pembeni ama nao kuunganishwa katika tuhuma itasaidia kuupata ukweli wa jinsi mnyororo wa wauwaji ulivyokuwa umejipanga na kutekeleza uovu huo.

Kuwaacha hawa watu muhimu kuendelea kuvaa magwanda ya polisi na kukalia viti vya nyadhifa zao watasaidia kupotosha na kupoteza uelekeo wa kupata ukweli wa jambo hili haraka.
Kuwaacha hawa watu muhimu kuendelea kuvaa magwanda ya polisi na kukalia viti vya nyadhifa zao watasaidia kupotosha na kupoteza uelekeo wa kupata ukweli wa jambo hili haraka.
 
Huyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama anaangaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibikaHuyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama ana angaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibika
Kwani lini uliwahi kuisha?? Uhuni waliofanya kina Sabaya na Makonda una tofauti gani na huu?? Nyie wasukuma msijitoe fahamu!
 
Back
Top Bottom