Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Kimeumana hapo mboga moto ugali moto maamae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeshambiwa hiyo kazi ni hakuna kukataa oda ya mkuu wako,Yaani mtu anakutuma kwenda kumuua mtu asiye na hatia na ww unaenda!!!!!
Hata kama mtu ni boss wako ndio akupe tu maagizo ya kipumbavu na ww unatii hata bila kufikiria mara mbili?!!!
Vilaza
Mkuu hatari kbsa izo kazi,Ukiingia kwenye kazi za vyombo vya usalama hapa Africa ujue uwezekano wa kuondoka duniani kwa njia za ajabu ni mkubwa sana. Ukiwa wrong place at the wrong time umekwisha. Ukishiriki una kesi, ukikataa kushiriki, watakumaliza. Hakuna jema
Wale sita walikuwepo selo moja nae , watueleze iweje mwenzao anajinyonga wao wanamuangalia bila MSAADA?Matambala ya deki yote yamechoka iweje lisikatike kwa uzito wa binaadam? Pili huko selo alikuwa mwenyewe?
Unaelewa ulichoandika?? GRAYSON ana ndugu gani mkubwa serikalini??Amini nawaambia kama Grayson asingekuwa na undugu na mtu wa juu serikalini, haya yote tusingeyajua.
Yangeisha juu kwa juu.
Hii nchi ni ya ajabu sana.
Hawakuwa Selo moja, walitenganishwa hadi wilaya wengine.Wale sita walikuwepo selo moja nae , watueleze iweje mwenzao anajinyonga wao wanamuangalia bila MSAADA?
Ukiangalia ilee klip ya RPC alivyokua anatoa Ile taarifa usoni utaona alikua na wakati mgumu sana. Kuna kitu anakijua lkn hawezi kukisema.Kama kundi zima la watuhumiwa walikuwa wameswendekwa ndani, ni nani aliyeshawishi na kusimamia mauwaji ya polisi mtuhumiwa mwenzao aliyefia mahabusu?
Hii cyndicate inamgusa moja kwa moja Rpc na viongozi wengine wakubwa wa polisi mkoa kama Rco!
Hawa watu wakiwekwa pembeni ama nao kuunganishwa katika tuhuma itasaidia kuupata ukweli wa jinsi mnyororo wa wauwaji ulivyokuwa umejipanga na kutekeleza uovu huo.
Kuwaacha hawa watu muhimu kuendelea kuvaa magwanda ya polisi na kukalia viti vya nyadhifa zao watasaidia kupotosha na kupoteza uelekeo wa kupata ukweli wa jambo hili haraka.
Ukiwa wrong place at the wrong time umekwisha. Ukishiriki una kesi, ukikataa kushiriki, watakumaliza. Hakuna jemaUkiingia kwenye kazi za vyombo vya usalama hapa Africa ujue uwezekano wa kuondoka duniani kwa njia za ajabu ni mkubwa sana. Ukiwa wrong place at the wrong time umekwisha. Ukishiriki una kesi, ukikataa kushiriki, watakumaliza. Hakuna jema
Alisemaje huyo 45+Binafsi nihudhuria Msibani mpaka mwuli unaagwa kuelekea Iringa, Nilishuhudia Afsa mmoja wa polisi Mtu mzima 45+ Alikua kwa uchungu na akaanza kuropoka mpaka wenzake wanamfata na kumwondoa haraka... Uchunguzi huru unahitajika
Kuwaacha hawa watu muhimu kuendelea kuvaa magwanda ya polisi na kukalia viti vya nyadhifa zao watasaidia kupotosha na kupoteza uelekeo wa kupata ukweli wa jambo hili haraka.Kama kundi zima la watuhumiwa walikuwa wameswendekwa ndani, ni nani aliyeshawishi na kusimamia mauwaji ya polisi mtuhumiwa mwenzao aliyefia mahabusu?
Hii cyndicate inamgusa moja kwa moja Rpc na viongozi wengine wakubwa wa polisi mkoa kama Rco!
Hawa watu wakiwekwa pembeni ama nao kuunganishwa katika tuhuma itasaidia kuupata ukweli wa jinsi mnyororo wa wauwaji ulivyokuwa umejipanga na kutekeleza uovu huo.
Kuwaacha hawa watu muhimu kuendelea kuvaa magwanda ya polisi na kukalia viti vya nyadhifa zao watasaidia kupotosha na kupoteza uelekeo wa kupata ukweli wa jambo hili haraka.
Huyu mama shidaYupo bize na vi Birthday na kupigia simu akina Mwijaku,. Ameshaingia kwenye Mtego wa kusifiwa na kuabudiwa
Kwani lini uliwahi kuisha?? Uhuni waliofanya kina Sabaya na Makonda una tofauti gani na huu?? Nyie wasukuma msijitoe fahamu!Huyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama anaangaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibikaHuyo kauliwa na mapolisi ili wamsingizie kesi ,uhuni umerudi tena serikalini mama ana angaika na mambo ya kipumbaavu vya machifu na kuvaa ngozi ,wakati nchini mambo yanaharibika