Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Aisee haya mambo MBONA NI YA KIKUBWA SANA?Baba mzazi wa marehemu ni askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee haya mambo MBONA NI YA KIKUBWA SANA?Baba mzazi wa marehemu ni askari mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.
Tambala la deki liweze kujingoea mtu 🤣🤣🤣🤣🤣 mzima kama huyo na lisikatike , tambala la deki kweli !!?? Sisi ni wapumbafu Sana wametuzoea Hawa.Hivi tambala la deki selo kweli?! Mbona haiingii akilini kabisa?!
Lakini kuuliwa bila kutihibitisha hiyo aibu ni kinyume kabisa na utaratibuDamu nzito kuliko maji,mzee kubali tu mwanao kakutia aibu
Wala haina haja ya kuwatukana.From my heart. Sipendi kabisa polisi. Sipendi kabisa magereza wanatamaa saaaana. Naishia hapo. Wanadhiki kama hawana ridhki.
Siwapendi mno.
Haswa hao polisi wa mtwara, lindi, na masasi. Sijui nitukane vipi. Daaah.
Ela ya kudhulumu ni mbaya sana wote walioshiriki itawatafunaExactly 💯 jamaa wamemuuwa maybe hizoo 33.7m waligawana ngazi zote...lets wait watauwana wengi sana maaana show imeshakuwa viral..
Swali zuri sana , kama Angeona ni kinyume na maadili ya kazi angeenda kuripoti kwa Wa juu zaidiKama alitumwa kuuwa na akakubali huo ni upumbavu wake.
Kwani angegoma angefukuzwa Kazi?
Ni hadi uwe na akili za kuambiwa unajiongeza, alikuwa na interest thus akaua.Swali zuri sana , kama Angeona ni kinyume na maadili ya kazi angeenda kuripoti kwa Wa juu zaidi
Toa majina yako na ya mama yako kisha ukae kwa kutulia😅!!! Pemba tu hapo inatosha kukunyooshaUCHAWI HAUPO NDUGU NI FIKSI TU.
Hao wanaosema uchawi haupo ndio huwa washirikina suguToa majina yako na ya mama yako kisha ukae kwa kutulia😅!!! Pemba tu hapo inatosha kukunyoosha
Kweli kabisa mkuu, blah blah nyingii!Ukiangalia ilee klip ya RPC alivyokua anatoa Ile taarifa usoni utaona alikua na wakati mgumu sana. Kuna kitu anakijua lkn hawezi kukisema.
Mi mwenzenu fikra ziko mbaaaaaaaaaaaaaali na kinachosemwa, nikafiri mhusika kafichwaExactly 💯 jamaa wamemuuwa maybe hizoo 33.7m waligawana ngazi zote...lets wait watauwana wengi sana maaana show imeshakuwa viral..
Ioze mara ngapi?Kweli kabisa mkuu, blah blah nyingii!
Halafu suala likichukua sura ya kitaifa, pale angelijiweka pembeni kutia utetezi wake mbuzi!
Halafu kile kiwango cha pesa wanazidi tu kukishusha jamani.
Huyu akiachwa aendelee na wadhifa wake bila ya kuchukuliwa hatua yoyote, waalah nitaiona serikali ya awamu ya6 imeoza yote na nitakosa imani na kiongozi yeyote wa serikali.